Wednesday, 9 July 2014

GARETH BARRY AMWAGA WINO WA MIAKA MITATU EVERTON KUTOKA MAN CITY

Maskani mpya: Kiungo Gareth Barry akiwa ameshika jezi mpya ya klabu yake mpya, Everton pamoja na kocha wa timu hiyo, Roberto Martinez katika Uwanja wa mazoezi wa timu hiyo, Finch Farm baada ya kusiani klabu hiyo akitokea Manchester City. Chini anasaini Mkataba wa miaka mitatu na Martinez.All smiles: Gareth Barry, pictured with Roberto Martinez, has signed a permanent three-year deal with Everton

Related Posts:

0 comments: