Saturday, 5 July 2014

Neymar kukosa kombe la dunia mwaka huu 2014





Mchezaji Neymar baada ya kupata jeraha

Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada kupata jeraha.
Mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya ushindi wa mabao mawili dhidi ya Colombia.

Neymar aligongwa upande wake wa nyuma dakika tano tu kabla ya mchuano huo wa robo fainali kukamilika.
Alibebwa na kutolewa nje akiwa katika machela lakini ametolewa hospitalini baada ya kufanyiwa matibabu.
Brazil pia itaendelea kushiriki katika mashindano hayo bila nahodha wake Thiago Silva katika mchuano wa nusu fainali dhidi ya Ujerumani baada ya mchezaji huyo kupewa kadi ya pili ya Njano.
Kabla ya habari hizo za Neymar kutolewa raia wa Brazil walifurika katika barabara za taifa hilo kusherehekea ushindi wa timu yao.
Katika robo fainali ya kwanza Ujerumani iliishinda ufaransa kwa bao moja kwa bila .

Anatolea nje: Neymar akiwa amebebwa kwenye machela kutolewa née kabla ya kukimbizwa hospitali baada ya mechi
none
Cynical: With the ball nowhere near Camilo Zuniga smashes his knee into the lower part of Neymar's back
Rafu iliyomuumiza; Hakuwa na mpira wakati anapigwa kwa goti mgongoni na Camilo Zuniga 
Man down: The Barcelona forward falls to the ground after the challenge that leaves him a doubt for the semi
Akaenda chini kama mzaha
Worry: The challenge left Neymar writhing on the ground and a doubt for the remainder of the tournament
Akashika eneo la mgongoni alilopigwa
Complaints: Defender Marcelo gesticulates as his team's star man lies prone on the ground in Fortaleza
Beki Marcelo anamuombea msaada baada ya kugundua ameumia kweli
Treatment: Neymar was seen to on the pitch but had to be removed on a stretcher in the quarter-final
Anapatiwa huduma ya kwanza uwanjani
Concern: Colombian playmaker James Rodrigues shows sympathy to his opposite number
Nyota wa Colombia, James Rodriguez anamkaribia Neymar kumtaka ainuke kutoka nje mchezo uendelee kuokoa muda wajaribu kusawazisha bao, wakati huo tayari Brazil inaongoza 2-1.

Related Posts:

0 comments: