Monday, 7 July 2014

MKE WA KWANZA WA MFALME MSWATI AWASILI ZANZIBAR.

DSC_0013
-Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa Swaziland Queen Nomsa  Matsebula akivishwa shada la maua baada ya kuwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku mbili,ambapo atatembelea sehemu mbalimbali ikiwa pamoja na Kizimbani,Shangani na Mji mkongwe wa Zanzibar.
DSC_0035
Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa Swaziland Queen Nomsa  Matsebula katikati akifuatana na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Zainabu Omar wakwanza kushoto baada ya kuteremka Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.
DSC_0047
Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa Swaziland Queen Nomsa  Matsebula kushoto akibadilishana mawazo na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Zainabu Omar katika Ukumbi wa Uwanja wa ndege mara baada ya kuwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Related Posts:

0 comments: