Tuesday, 8 July 2014

ANGALIA:Mabao matano(5)ya Ujerumani yalivyo fungwa katika kipindi cha kwanga HABARI ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA MTANDAO HUU.

 

Brazil 0-5 Ujerumani


Julio Cesar haamini dunia imempasukia wapi .
23:35
23:30 Ujerumani 5-0 Brazil
Bao la Milaslav Klose
23:26
23:26 Toni KROOOOOS
23:24 GOOOOOOAL !Toni KROOOOS
23:20 Thomas Muller anafunga bao la pili la Ujerumani
23:20 GOOOOOOAL
23:20 Ujerumani 2-0 Brazil
Ujerumani hawajawahi kushindwa katika mechi ambayo wametangulia kufunga.
Ujerumani 1-0 Brazil
23:18 Brazil wanaonekana wameduwazwa na bao hilo la Muller
23:15 Kona kuelekea upande wa Ujerumani
23:11 Ujerumani 1-0 Brazil
Bao la Muller
23:10 Thomas Muller anaiweka Ujerumani mbele 1-0
23:10 GOOOOOOOOOAL
Muller akishangilia bao lake
23:10 Kona kuelekea lango la Brazil.
23:09 David Luiz analazimika kufanya kazi ya ziada kufuatia mashambulizi ya mjerumani
23:05 Ujerumani inashambulia lango la Brazil lakini wapi inazimwa .
23:02 Ujerumani 0-0 Brazil
23:01 Ujerumani haina matatizo ya wachezaji ikilinganishwa na Scolari ambaye amelazimika kuchezesha kikosi bila ya Neymar
Timu ya Ujerumani
23:00 Mechi Imeanza
Timu ya taifa ya Brazil itakavyokuwa katika mechi hii bila ya Neymar
22:57
22:55 Wimbo wa taifa wa Brazil unapigwa hapa uwanjani ,,mashabiki wa Brazil wanaimba
22:54 Wimbo wa taifa wqa Ujerumani unachezwa hapa mbele ya uwanja uliofurika furifuri
22:52Mashabiki wa Brazil na wale wa Ujerumani wakishangilia timu zao kabla ya mechi ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la dunia .
Brazil inachuana Ujerumani
22:50
22:50Wenyeji wa kombe la dunia Brazil wanachuana na Ujerumani katika mechi ya kwanza ya nusu fainali.

Related Posts:

0 comments: