MCHEZAJI
wa kimataifa wa Ufaransa, Bacary Sagna amejiunga na Manchester City
kama mchezaji hurt kutoka wapinzani wao wa Ligi Kuu ya England, Arsenal.
Beki
huyo aliyedumua Arsenal kwa miaka saba, amesaini mkataba wa miaka
mitano na mabingwa hao wa Ligi Kuu, ambao utamfanya awe analipwa
Pauni 150,000 kwa wiki mbali ya posho.
Baada
ya kumalizana na klabu hiyo, beki huyo wa pembeni sasa atajiunga rasmi
na City Jula 1 - baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia.
0 comments:
Post a Comment