


Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamini Mkapa akizungumza na
Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Cleopa Msuya wakati wa shughuli za uwekaji wa
jiwe la msingi wa ujenzi wa jengo refu la ghorofa la Mwalimu Nyerere
Foundation.






Picha ya Pamoja baada ya zoezi la uwekaji wa jiwe la Msingi kukamilika.
(Picha na Adam Mzee)
0 comments:
Post a Comment