Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, ameutaka uongozi wa
Wekundu hao wa Msimbazi kusajili wachezaji 25 tu msimu ujao wa ligi kuu ambapo
amependekeza kuwa na makipa watatu.
Loga amekabidhi ripoti yake hivi karibuni kabla ya kwenda nchini
kwao Croatia kwenye...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Wednesday, 30 April 2014
PAUL NONGA ASEMA YANGA SIMBA, NO! ATAKA KUBAKI MBEYA CITY
NONGA (WA KWANZA KULIA)AKIWA NA KIKOSI CHA MBEYA CITY.
Mshabuliaji wa Mbeya City, Paul Nonga, amezikataa timu za Simba
na Yanga kwa kusema kuwa hafikirii kuondoka katika timu hiyo.
Nonga ameonyesha kiwango cha hali ya juu akiwa na timu hiyo ya mkoani
Mbeya...
AL AHLY YAPANGWA KUNDI LA ‘KIFO’ KOMBE LA SHRIKISHOB

VIGOGO
wa Misri, Al Ahly wamepangwa katika Kundi B la Kombe la Shirikisho
Afrika mwaka 2014 pamoja na Sewe Sport ya Ivory Coast, Etoile du Sahel
ya Tunisia na Nkana FC ya Zambia.
Katika
droo iliyopangwa leo makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF),
wababe wa...
MAYWEATHER AONYESHA JEURI YA FEDHA, ATAKA KUNUNUA TIMU MAREKANI

KAMA
anavyotamba katika ngumi za kulipwa hadi sasa akiwa hajapoteza pambano
licha ya kupigana na mabondia wakali duniani, Floyd Mayweather anataka
kununua klabu ya mpira wa kikapu Marekani, inayomilikiwa na milionea
anayekabiliwa na kashfa ya ubaguzi.
Hakuna
...
UPITIAJI WA RASMU YA KATBA YA CLUB YA SIMBA WAMALIZIKA
Mkurugenzi wa
Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo akitoa ufafanuzi kwa
Wanahabari (hawapo pichani) kuhusu Rasimu ya Katiba ya Timu ya Mpira wa
Miguu ya Simba baada ya wanahabari kutaka kupata ufafanuzi juu ya hatma
ya Katiba na uchaguzi wa Klabu hiyo.
Serikali
...
WAFANYAKAZI 'KATIBA NA SHERIA ' WAASWA KUCHPA KAZI
ts
Mwenyekiti
wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) Mkoa wa
Dar-es-salaam Bw. Hassan Kaumo akiongea na wafanyakazi wa Wizara ya
Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo
jijini...
HATARI:TANESCO YAFUNGA NYAYA JUU YA MTI BAADA YA NGUZO KUVUNJIKA
Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.
Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.
Hizi ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na...
HALMASHAURI KUU YA CCM LUDEWA YAMPONGEZA MBUNGE FILIKUNJOMBE
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ludewa
Stanley Kolimba akifungua kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya leo
kutoka kulia ni mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe na mjumbe wa
Halmashauri kuu ya Taifa (MNEC) kutoka Ludewa Elizabeth Haule
........................................................................................................................................
CHAMA
...
AJALI YAUA MMOJA YAJERUHI 40 WILAYANI SUMBAWANGA
MTU mmoja
amefariki dunia na wengine 40 kujeruhiwa baada ya ajali ya gari lililokuwa likitokea katika
kijiji cha Mkima Wilayani Sumbawanga kuacha njia na kupinduka na kutumbukia mtaroni.
Gari hilo
aina ya Fuso lililokuwa limebeba
wachezaji wa mpira ambao walikuwa wakielekea kijiji cha Mkima wakitokea Ilembo kwa ajili
ya...
JOSE CHAMELEONE KESHO KUSHEREHEKEA MEI MOSI VILLA PARK MWANZA.

SIKILIZA MPANGO MZIMA.
MSANII
Maarufu kutoka nchini Uganda Dr. Jose Chameleone, anaye Sherehekea siku
yake ya kuzaliwa leo tarehe APRIL 30, anatarajia kushuka Mikoa ya Kanda
ya Ziwa kutoa burudani ya mtikisiko kwa mikoa ya Mwanza na Geita wakati
wa kusherehekea Sikukuu...
LISHE ASILI NI DAWA YA WAGONJWA WAMOYO
Wanasayansi nchini
Marekani wanasema watu waliowahi kupata maradhi ya moyo wanaweza kuishi
maisha marefu iwapo watakula zaidi vyakula ambavyo havijapitia
viwandani.
Watafiti walichunguza zaidi ya watu
elfu nne waliowahi kupata mshituko wa moyo na kubaini kuwa...
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MJUMBE WA RAIS WA BURUNDI IKULU DAR
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe
maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, alipofika na ujumbe
wake kuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam April 29, 2014.
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea...
SHILINGI 2,000 ZILINIPONZA NIKAIBIWA MTOTO
Aprili 6, mwaka huu ni siku ambayo mkazi wa Kijiji cha Kibanda wilayani Kyela, Mboka Mwakikagile (20) haitaisahau.
Ni siku ambayo aliibiwa mtoto mchanga wa kiume aliyekuwa na umri wa siku saba tu.
Akisimulia
tukio hilo, Mboka anasema alijifungua...
HIVI NDIVYO RONALDO ALIVYO AVUNJA REKODI YA MESSI
Nyota wa Real Madrid
ya Uhispania Cristiano Ronaldo amevunja rekodi ya Lionel Messi ya
ufungaji mabao mengi zaidi katika ligi ya mabingwa barani Uropa
alipoifungia timu yake mabao mawili na kuisaidia kuichapa Bayern Munich
mabao 4-0 katika...
SEMINA YA WAANDISHI KUHUSU UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU YAFANYIKA ZANZIBAR
Na Miza Kona Maelezo Zanzibar
TATIZO
la Wananchi kujichukulia hatua mikononi mwao na matumizi ya nguvu
zisizo za lazima kwa baadhi ya vyombo vya dola ni changamoto kubwa
inayodhoofisha...
KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI AMKARIBISHA RAIS KWETE ARUSHA
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera
akimkaribisha Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya
kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)
kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya hiyo unaofanyika...
HIVI NDIVYO BFT WALIVYO MPONGEZA MH BERNAD MEMBE
Shirikisho
la ngimi Tanzania (BFT) linatoa pongezi za dhati kwa Waziri wa Mambo
ya Nchi za Nje Mh. Bernard Membe kwa hatua na jitihada alizozifanya za
kutafua na kufanikisha kambi ya mazoezi kwa Timu ya Taifa...