L-R: Marais J. Kabila na J. Kikwete
Kufuatia
wito wa rais Jakaya Kikwete kwa marais wa mataifa ya maziwa Makuu
marais Paul Kagame, wa Rwanda, Joseph Kabila wa jamhuri ya Kidemokrasia
ya Kongo na Yoweri Museveni wa Uganda, kuzungumza na makundi ya waasi
yanayopambana...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Friday, 31 May 2013
MOURINHO ASAINI RASIM CHELSEA FOOTBALL CLUB
JOSE MOURINHO ni boss
mpya wa Chelsea — na hiyo ni rasmi kwa mujibu wa gazeti la The Sun!
The Special One ameripotiwa kusaini
mkataba mpya wa miaka minne wenye thamani ya £40million jana usiku.
Kwa mujibu wa ofisa mmoja wa juu wa
Chelsea: “Ni...
VIBAKA WAZUA MAJANGA WAM CHOMA MOTO KIJANA MMOJAN MKOANI LINDI
KIJANA ALIYECHOMWA MOTO NA VIBAKA AKIWA HOSPITALINI
KIJANA ISMAIL MAYOBA 31 ANAYE FANYA KAZI BAA YA MANGROV MKAZI WA JAMHURI
MANISPAA YA LINDI AMBAYE AMENUSULIKA KIFA BAADA YA KUVAMIWA NA VIBAKA
WALIOTAKA KUMPOLA HATIMAE KUMCHOMA MOTO AMELAZWA KATIKA HOSPTALI YA...
HOFU YA UGONJWA WA KIMETA NCHINI TANZANIA, MIFUGO YAKATAZWA KUINGIZWA ROMBO
Friday, May 31, 2013
K'NJARO UPDATE: HOFU YA KIMETA, MIFUGO YAKATAZWA KUINGIZWA ROMBO
SERIKALI imeweka zuio la mifugo kutoka
nchini Kenya na maeneo mengine ya Tanzania kuingizwa wilayani Rombo Mkoani
Kilimanjaro kutokana na hofu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kimeta unaoshambulia
wanyama...
TAARIFA YA MATOKEO MAPYA YA KIDATO CHA NNE, UFAULU WAPANDA KWA ASILIMIA 23.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.
Baraza la mitihani Tanzania NECTA
limetangaza rasmi matokeo ya Kidato cha Nne 2012. Idadi ya watahiniwa
waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya...
KUDANDIA DALADALA KWA POTEZA MAISHA YA MTU MMOJA ILALA BOMA DAR MUDA HUU

MTU MMOJA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUANGUKA WAKATI AKIJARIBU KUDANDIA DALADALA MAENEO YA ILALA BOMA MUDA HUU
Asubuhi hii ajali mbaya imetokea maeneo ya Ilala Boma
na kusababisha kifo cha abiria huyu ambaye hajatambulika kwa jina
mpaka sasa baada ya abiria kutaka...
MATUMIZI MABAYA YA SIMU YAMTUPA GEREZANI MWAKA MMOJA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es
Salaam, imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela, Fundi Mwashi Nassoro Mohamed
(25), baada ya kukiri kosa la kutoa taarifa za uongo kwa kampuni za simu
alipokuwa akisajili namba zake.
Hukumu
hiyo ilitolewa jana...
JAPAN YA TANGAZA KUSAIDIA TANZANIA MABILIONI
Rais
Jakaya Kikwete akiambatana na mke wake Mama Salma tarehe 30. 5.2013
wakitembelea makumbusho ya karakana ya sayansi ya TOSHIBA iliyoko huko
Kawasaki karibu na Tokyo nchini Japan inayohusika na utengenezaji wa
injini za treni na vifaa vingine vye elektroniki ...
TAARIFA YA POLISI KUHUSU WATU WALIOFALIKI KATIKA VURUGU ZA GESI MTWARA
Jeshi
la Polisi nchini limewataka wananchi kutokuwa na hofu juu ya taarifa za
kutoaminika na ambazo hazijafanyiwa uchunguzi zinazotolewa na baadhi
ya watu kuhusu idadi ya watu waliofariki katika vurugu zilizotokea
mkoani Mtwara.
Akizungumza na Waandishi wa habari mkoani Mtwara
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo...
Thursday, 30 May 2013
HUJUMA KWENYE MKONGO WA TAIFA UKIONA TOA TAARIFA
Mwizi wa mkongo wa mawasiliano amekamatwa akiwa na vipande vya mkongo maeneo ya boko darajani jijini Dar es salaam. Matukio kama haya yamekuwa ni vipingamizi katika kutoa huduma bora kwa wateja wetu.Kutokana
na hali hiyo, sisi kama wadau wa mawasiliano, tunapenda...
WATU 92 WAFIKISWA KIZIMBANI KWA CHANZO CHA VURUGU ZA GESI MTWARA
Watu 92 wamefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Mtwara na kusomewa
mashitaka mbalimbali, ikiwamo kufanya fujo, kuvunja nyumba, kuiba,
kujeruhi na kuhujumu uchumi katika vurugu zilizotekea mjini Mtwara, Mei
22, mwaka huu.
Watu hao walifikishwa mahakamani hapo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Mussa Esanju.
Waendesha
Mashitaka wa Serikali,...
RAIS J KIKWETE APATA MSAADA WA WAALIMU KUTOKA JAMAICA

RAIS Jakaya Kikwete ameomba msaada wa
walimu wa Hisabati na Sayansi kutoka nchini Jamaica ili kukabiliana na upungufu
wa wataalam hao nchini.
Rais
Kikwete alitoa ombi hilo Jumatatu ya juma hili kwenye Hotel ya Sheraton mjini
Addis Ababa, Ethiopia wakati wa mkutano...
YANGA SC YAMUONGEZA MKATABA NIZAR KHALFAN, YAMUITA MCHEZAJI WA KUIGWA NDANI YA TIMU
Nizar Khalfan katika picha tofauti, mbili kulia akiwa na Yanga SC na kushoto alipokuwa Marekani
KLABU
ya Yanga imesema kwamba, kiungo Nizar Khalfan ataongezewa Mkataba ili
aendelee kuichezea klabu hiyo msimu ujao baada ya msimu huu kuuridhisha...
KICHANGA CHAUKOTWA NDANI YA BOMBA LA MAJI TAKA KIKIWA HAI…
Mtoto
mchanga aliyeokolewa kutoka ndani ya bomba la maji taka nchini China,
alianguka ndani ya bomba hilo kwa bahati mbaya, mamake mtoto huyo
amesema.Mama huyo ambaye bado hajatajwa jila lake, aliambia polisi
kuwa alijifungua mwanawe akiwa chooni na...
Wednesday, 29 May 2013
SOKA LA HISPANIA NA BLAZLI JE NEYMAR ATAWEZA BARCELONA?

Romário
(1993), Ronaldo (1996), Rivaldo (1997), Ronaldinho (2003) na Neymar (2013).
Neymar anajiunga ma urithi
mzuri wa washambuliaji wa Brazil unaoundwa na wanaume wanne waliopata mafanikio
makubwa katika miongo kadhaa iliyopita na kupata mafanikio makubwa...
MTOTO WA SOKOINE ATAKA MWILI WA BABA YAKE UCHUNGUZWE
MTOTO mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani
Hayati Edward Moringe Sokoine, Lazaro Sokoine, ameibuka na kutoa madai mazito
ya kutaka mwili wa baba yake ufanyiwe uchunguzi, kubaini chanzo cha kifo chake.
HAYATI MWALIMU JK NYERERE NA HAYATI EM SOKOINE
Mbali
na...
WATANZANI MAJONZI KWENYE BONGO FLEVA M TO THE P" NAYE AAGA DUNIA, BAADA YA NGWAIR

TANZANIA BONGO "M TO THE P" NAYE AAGA DUNIA, BAADA YA NGWAIR
BAADA
YA MANGWEA SASA NI “M to the P”
Duru
za Habari kutoka nchini Afrika Kusini, Baada ya kifo cha Msanii wa Kizazi Kipya
(Bongo Fleva na Hip Hop) Albert Mwangwea a.k.a kijana wa Jakaya, “M to the P”
naye...
BUNGENI DODOMA : SERIKALI YAKIRI KUTOLIPA FIDIA ARUMERU MASHARIKI
SERIKALI imekiri kuwa haijalipa fidia kwa
wananchi wa Wilaya ya Arumeru ambao walitakiwa kupisha upanuzi wa miradi ya
EPZ.
Kauli
hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu
na kuongeza kuwa hali hiyo inatokana na zoezi...
MASHOGA WA KWANZA KUOANA LEO, UFARANSA
Ufaransa itasherehekea
harusi ya kwanza ya watu wa jinsia
moja leo wakati Vincent Autin na Bruno Boileau
kufunga pingu za maisha, siku chache baada
ya sheria ...
SIASA ZA BONGO KINANA ATOA ONYO UCHAGUZI 2015

KATIBU
Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amesisitiza kwamba Chama
kitamwadhibu bila huruma mwanachama yeyote anayejipitisha-pitisha katika maeneo
mbalimbali na kufanya kampeni za kuwania urais kabla ya wakati.
Kinana alisema hayo...
KILICHOMUUA NGWEAR CHA FAHAMIKA NA TARATIBU ZA MAZISHI ZAANZA MBEZI BEACH

Taarifa ambazo MBEYAGREENNEWS.BLOGSPORT .COM imezipata kutoka Afrika ya Kusini kwa HusseinOriginal ambaye yupo Pretoria, amesema
Ngwear amefariki Jana jion kwenye gheto ambalo alikuwepo pia msanii M
to The P ambaye yeye amelazwa hospitali akiwa mahtuti.
"Tulivyokwenda...
Tuesday, 28 May 2013
MBUNGE WA CCM AMKACHA PINDA
Na Haika Kimaro na Mary Sanyiwa, Mwananchi
(email the author)
Waziri Mkuu alitembelea Ofisi ya CCM Mtwara
Vijijini, Mahakama ya Mwanzo ya Mitengo, Ofisi ya Kata ya Mtonya
Mikindani, Ofisi ndogo ya Mbunge (Murji), Baa ya Mukuzi, nyumba...
WANAFUNZI WAPIGA KURA KWA SIRI ILI KUBAINI MWL ANAEFANYA MAPENZI NA WANAFUNZI (SHINYANGA)
KATIKA
hali isiyo ya kawaida, wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyasubi, iliyopo
Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, wamepiga kura za siri ili
kuwafichua walimu wenye tabia ya kufanya mapenzi na wanafunzi wao
shuleni hapo.Uamuzi wa kupigwa kura hizo ulifikiwa hivi karibuni
kwenye Kikao cha Baraza la Shule la Watoto ambacho kiliitishwa kwa
lengo...
MHUBIRI ALA KICHAPO KIKALI MARA BAADA YA CONDOM KUDONDOKA IKITOKEA KWENYE BIBLIA

HALI tete na ya taharuki imezuka katika jiji la LAGOSI huko Nchini
Nigeria mara baada ya Mwinjilisti mmoja aliyejulikana kwa jina la Mr
John Mbakogwu.
Mr John Mbakogwu aliushangaza umati mkubwa ambao
walikuwa ndani ya basi hilo wakisafiri kulekea maeneo...
SELIKALI IANGALIE USALAMA WA WAANDISHI WA HABARI WAWAPO KAZINI
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Habari
Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga, ameiomba Serikali iangalie uwezekano wa
kuchukua hatua za ziada za kuwahakikishia waandishi wa habari usalama wawapo
kazini.
Mukajanga
alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia vurugu za masuala...