MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Friday, 31 May 2013

WABUNGE WA DRC WAMSIFU RAISI KIKWETE KWA JITIHADA ZAKURETA AMANI

L-R: Marais J. Kabila na J. Kikwete Kufuatia wito wa rais Jakaya Kikwete kwa marais wa mataifa ya maziwa Makuu marais Paul Kagame, wa Rwanda, Joseph Kabila wa jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Yoweri Museveni wa Uganda, kuzungumza na makundi ya waasi yanayopambana...

MOURINHO ASAINI RASIM CHELSEA FOOTBALL CLUB

JOSE MOURINHO ni boss mpya wa Chelsea — na hiyo ni rasmi kwa mujibu wa gazeti la The Sun!    The Special One ameripotiwa kusaini mkataba mpya wa miaka minne wenye thamani ya £40million jana usiku.  Kwa mujibu wa ofisa mmoja wa juu wa Chelsea: “Ni...

VIBAKA WAZUA MAJANGA WAM CHOMA MOTO KIJANA MMOJAN MKOANI LINDI

KIJANA ALIYECHOMWA MOTO NA VIBAKA AKIWA HOSPITALINI KIJANA ISMAIL MAYOBA 31 ANAYE FANYA KAZI BAA YA MANGROV MKAZI WA JAMHURI MANISPAA YA LINDI AMBAYE AMENUSULIKA KIFA BAADA YA KUVAMIWA NA VIBAKA WALIOTAKA KUMPOLA HATIMAE KUMCHOMA MOTO AMELAZWA KATIKA HOSPTALI YA...

HOFU YA UGONJWA WA KIMETA NCHINI TANZANIA, MIFUGO YAKATAZWA KUINGIZWA ROMBO

Friday, May 31, 2013 K'NJARO UPDATE: HOFU YA KIMETA, MIFUGO YAKATAZWA KUINGIZWA ROMBO SERIKALI imeweka zuio la mifugo kutoka nchini Kenya na maeneo mengine ya Tanzania kuingizwa wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro kutokana na hofu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kimeta unaoshambulia wanyama...

TAARIFA YA MATOKEO MAPYA YA KIDATO CHA NNE, UFAULU WAPANDA KWA ASILIMIA 23.

    Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.     Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza rasmi matokeo ya Kidato cha Nne 2012. Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya...

KUDANDIA DALADALA KWA POTEZA MAISHA YA MTU MMOJA ILALA BOMA DAR MUDA HUU

MTU MMOJA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUANGUKA WAKATI AKIJARIBU KUDANDIA DALADALA MAENEO YA ILALA BOMA MUDA HUU Asubuhi hii ajali mbaya imetokea maeneo ya Ilala Boma na  kusababisha kifo cha abiria huyu ambaye hajatambulika kwa jina mpaka sasa baada ya abiria kutaka...

MATUMIZI MABAYA YA SIMU YAMTUPA GEREZANI MWAKA MMOJA

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela, Fundi Mwashi Nassoro Mohamed (25), baada ya kukiri kosa la kutoa taarifa za uongo kwa kampuni za simu alipokuwa akisajili namba zake. Hukumu hiyo ilitolewa jana...

JAPAN YA TANGAZA KUSAIDIA TANZANIA MABILIONI

Rais Jakaya Kikwete akiambatana na mke wake Mama Salma tarehe 30. 5.2013 wakitembelea makumbusho ya karakana ya sayansi ya TOSHIBA iliyoko huko Kawasaki karibu na Tokyo nchini Japan inayohusika na utengenezaji wa injini za treni na vifaa vingine vye elektroniki ...

TAARIFA YA POLISI KUHUSU WATU WALIOFALIKI KATIKA VURUGU ZA GESI MTWARA

   Jeshi la Polisi nchini limewataka wananchi kutokuwa na hofu juu ya taarifa za kutoaminika na  ambazo hazijafanyiwa uchunguzi zinazotolewa na baadhi ya watu kuhusu idadi ya watu waliofariki katika vurugu zilizotokea mkoani Mtwara. Akizungumza na Waandishi wa habari mkoani Mtwara Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo...

Thursday, 30 May 2013

HUJUMA KWENYE MKONGO WA TAIFA UKIONA TOA TAARIFA

Mwizi wa mkongo wa mawasiliano amekamatwa akiwa na vipande vya mkongo maeneo ya boko darajani jijini Dar es salaam. Matukio kama haya yamekuwa ni vipingamizi katika kutoa huduma bora kwa wateja wetu.Kutokana na hali hiyo, sisi kama wadau wa mawasiliano, tunapenda...

WATU 92 WAFIKISWA KIZIMBANI KWA CHANZO CHA VURUGU ZA GESI MTWARA

Watu 92 wamefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Mtwara na kusomewa mashitaka mbalimbali, ikiwamo kufanya fujo, kuvunja nyumba, kuiba, kujeruhi na kuhujumu uchumi katika vurugu zilizotekea mjini Mtwara, Mei 22, mwaka huu. Watu hao walifikishwa mahakamani hapo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Mussa Esanju. Waendesha Mashitaka wa Serikali,...

RAIS J KIKWETE APATA MSAADA WA WAALIMU KUTOKA JAMAICA

RAIS Jakaya Kikwete ameomba msaada wa walimu wa Hisabati na Sayansi kutoka nchini Jamaica ili kukabiliana na upungufu wa wataalam hao nchini.   Rais Kikwete alitoa ombi hilo Jumatatu ya juma hili kwenye Hotel ya Sheraton mjini Addis Ababa, Ethiopia wakati wa mkutano...

YANGA SC YAMUONGEZA MKATABA NIZAR KHALFAN, YAMUITA MCHEZAJI WA KUIGWA NDANI YA TIMU

   Nizar Khalfan katika picha tofauti, mbili kulia akiwa na Yanga SC na kushoto alipokuwa Marekani  KLABU ya Yanga imesema kwamba, kiungo Nizar Khalfan ataongezewa Mkataba ili aendelee kuichezea klabu hiyo msimu ujao baada ya msimu huu kuuridhisha...

KICHANGA CHAUKOTWA NDANI YA BOMBA LA MAJI TAKA KIKIWA HAI…

    Mtoto mchanga aliyeokolewa kutoka ndani ya bomba la maji taka nchini China, alianguka ndani ya bomba hilo kwa bahati mbaya, mamake mtoto huyo amesema.Mama huyo ambaye bado hajatajwa jila lake, aliambia polisi kuwa alijifungua mwanawe akiwa chooni na...

Wednesday, 29 May 2013

SOKA LA HISPANIA NA BLAZLI JE NEYMAR ATAWEZA BARCELONA?

Romário (1993), Ronaldo (1996), Rivaldo (1997), Ronaldinho (2003) na Neymar (2013).   Neymar anajiunga ma urithi mzuri wa washambuliaji wa Brazil unaoundwa na wanaume wanne waliopata mafanikio makubwa katika miongo kadhaa iliyopita na kupata mafanikio makubwa...

MTOTO WA SOKOINE ATAKA MWILI WA BABA YAKE UCHUNGUZWE

  MTOTO mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani Hayati Edward Moringe Sokoine, Lazaro Sokoine, ameibuka na kutoa madai mazito ya kutaka mwili wa baba yake ufanyiwe uchunguzi, kubaini chanzo cha kifo chake.   HAYATI MWALIMU JK NYERERE NA HAYATI EM SOKOINE  Mbali na...

WATANZANI MAJONZI KWENYE BONGO FLEVA M TO THE P" NAYE AAGA DUNIA, BAADA YA NGWAIR

TANZANIA BONGO "M TO THE P" NAYE AAGA DUNIA, BAADA YA NGWAIR BAADA YA MANGWEA SASA NI “M to the P” Duru za Habari kutoka nchini Afrika Kusini, Baada ya kifo cha Msanii wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva na Hip Hop) Albert Mwangwea a.k.a kijana wa Jakaya, “M to the P” naye...

BUNGENI DODOMA : SERIKALI YAKIRI KUTOLIPA FIDIA ARUMERU MASHARIKI

  SERIKALI imekiri kuwa haijalipa fidia kwa wananchi wa Wilaya ya Arumeru ambao walitakiwa kupisha upanuzi wa miradi ya EPZ. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu na kuongeza kuwa hali hiyo inatokana na zoezi...

MASHOGA WA KWANZA KUOANA LEO, UFARANSA

Ufaransa  itasherehekea  harusi  ya  kwanza  ya  watu  wa  jinsia moja  leo wakati  Vincent Autin  na Bruno  Boileau  kufunga  pingu  za maisha, siku  chache  baada  ya  sheria ...

SIASA ZA BONGO KINANA ATOA ONYO UCHAGUZI 2015

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amesisitiza kwamba Chama kitamwadhibu bila huruma mwanachama yeyote anayejipitisha-pitisha katika maeneo mbalimbali na kufanya kampeni za kuwania urais kabla ya wakati.   Kinana alisema hayo...

KILICHOMUUA NGWEAR CHA FAHAMIKA NA TARATIBU ZA MAZISHI ZAANZA MBEZI BEACH

Taarifa ambazo MBEYAGREENNEWS.BLOGSPORT .COM imezipata kutoka Afrika ya Kusini kwa HusseinOriginal ambaye yupo Pretoria, amesema Ngwear amefariki Jana jion kwenye gheto ambalo alikuwepo pia msanii M to The P ambaye yeye amelazwa hospitali akiwa mahtuti.  "Tulivyokwenda...

Tuesday, 28 May 2013

MBUNGE WA CCM AMKACHA PINDA

Na Haika Kimaro na Mary Sanyiwa, Mwananchi  (email the author)   Waziri Mkuu alitembelea Ofisi ya CCM Mtwara Vijijini, Mahakama ya Mwanzo ya Mitengo, Ofisi ya Kata ya Mtonya Mikindani, Ofisi ndogo ya Mbunge (Murji), Baa ya Mukuzi, nyumba...

WANAFUNZI WAPIGA KURA KWA SIRI ILI KUBAINI MWL ANAEFANYA MAPENZI NA WANAFUNZI (SHINYANGA)

KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyasubi, iliyopo Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, wamepiga kura za siri ili kuwafichua walimu wenye tabia ya kufanya mapenzi na wanafunzi wao shuleni hapo.Uamuzi wa kupigwa kura hizo ulifikiwa hivi karibuni kwenye Kikao cha Baraza la Shule la Watoto ambacho kiliitishwa kwa lengo...

MHUBIRI ALA KICHAPO KIKALI MARA BAADA YA CONDOM KUDONDOKA IKITOKEA KWENYE BIBLIA

  HALI tete na ya taharuki imezuka katika jiji la LAGOSI huko Nchini Nigeria mara baada ya Mwinjilisti mmoja aliyejulikana kwa jina la Mr John Mbakogwu. Mr John Mbakogwu aliushangaza umati mkubwa ambao walikuwa ndani ya basi hilo wakisafiri kulekea maeneo...

SELIKALI IANGALIE USALAMA WA WAANDISHI WA HABARI WAWAPO KAZINI

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga, ameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuchukua hatua za ziada za kuwahakikishia waandishi wa habari usalama wawapo kazini. Mukajanga alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia vurugu za masuala...