Saturday 27 September 2014

SEWE SPORT IVORY COST YATINGA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO


TIMU ya Sewe Sport ya Ivory Coast, imetinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika 2014 baada ya sare ya bila kufungana katika Nusu Fainali ya pili dhidi ya AC Leopards ya Kongo Uwanja wa Manispaa Denis Sassou N'Guesso mjini Dolisie jana.
Sewe Sport wanasonga mbele baada ya ushindi wa 1-0 katika mchezo wa kwanza nyumbani, shukrani kwake Christian Kouame aliyefunga bao hilo dakika ya 57.
Sewe sasa itapambana na mshindi kati ya Al Ahly ya Misri na Coton Sport ya Cameroon. ably ilishinda 1-0 pia katika mchezo wa kwanza nyumban
i.

0 comments: