Thursday, 17 July 2014

WATUHUMIWA 16 WANAO HUSISHWA NA VITENDO VYA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI NCHINI

001Baadhi ya watuhumiwa wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi katika  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakisindikizwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), kuingia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Julai  17,2014 kusomewa mashitaka yao. Watuhumiwa 16 walisomewa mashitaka. 002Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiimarisha ulinzi. 003Watuhumiwa wakiingia ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. 004005 006 007 008Watuhumiwa wakipelekwa maabusu baada yakusomewa mashitaka yao. 009Watuhumiwa wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi wakiwa kwenye  ulinzi mkali.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON 

Related Posts:

0 comments: