Monday, 14 July 2014

Mwakyembe aeleza mikakati ya wizara yake kuiokoa TAZARA

Pix 01
Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema hii leo Jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akizungumzia mikakati ya Wizara yake katika kutatua changamoto zinazolikabiri Shirika la Reli laTanzania na Zambia (TAZARA).
Pix 02
Waandishi wahabari wakimfuatilia kwa makini Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) mapema hii leo Jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akizungumzia mikakati ya Wizara yake katika kutatua changamoto zinazolikabiri Shirika la Reli laTanzania na Zambia (TAZARA). Picha zote na Eliphace Marwa (Maelezo)

Related Posts:

0 comments: