MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Sunday, 27 July 2014

UJIO WA REAL MADRID TANZANIA SASA YAWA GUMZO NCHINI

FIGO Gumzo la ujio wa wakongwe wa Real Madrid sasa umeanza kuwa gumzo kuliko hata ilivyotarajiwa awali. Mwanzo ilionekana kama wengi hawaamini kama kweli wakongwe hao wa Madrid wanaweza kuja nchini. Baadhi wametuma baruapepe kwenye mtandao huu wakihoji kama...

ETO'O AIFUNGIA MABAO MAWILI BARCELONA DHIDI YA PORTO

  KATIKA MCHEZO WA KUMUAGA DECO   VIKOSI viwili vilivyoshinda mataji ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa awamu tofauti jana viliungana kuichezea Barcelona katika mechi dhidi ya FC Porto, kumuaga kiungo wa zamani wa kimataifa wa Ureno, Deco. Mchezo huo uliowahusisha...

MAN UNITED YASHINDA CHINI YA VAN GAAL ...ROONEY HATARI!!!!!!!!

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa England, Wayne Rooney amemdhihirishia ubora wake kocha mpya wa Manchester United, Mholanzi Louis van Gaal usiku huu baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya AS Roma mjini Denver, Marekani.  Katika mchezo wa kujianda...

LEWANDOWSKI APIGA BAO LA MWAKA KWA BAYERN MUNICH

  MCHEZAJI mpya wa Bayern Munich, Robert Lewandowski jana ameendelea kung'ara katika timu yake mpya baada ya kufunga bao zuri katika safe ya 2-2 na Borussia Monchengladbach mchezo wa kujiandaa na msimu. Mshambuliaji huyo wa Poland aliyetua kama mchezaji...

RAIS KIKWETE ,JUMUIYA YA MADOLA NA MICHEZO YOTE WAMEKUDANGANYA MCHANA KWEUPE!

Rais wangu, Jemedari wangu na Amiri Jeshi mkuu wa Nchi yangu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Vyama vya Michezo na Wizara ya Michezo Imekudanganya na kukufanya wewe kama Babu yao. Rais Tangu uingie Madarakani  Mwka 2005 umekutana...

NAIBU WAZIRI AMOS MAKALLA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA MAREKANI

   Naibu Wazirti wa Maji, Amos makalla akiwa na balozi wa Tanzania nchini marekani balozi Liberata Mulamula katika ubalozi wa Tanzania Marekani. ...

DIAMOND ALAMBA TUZO MBILI AFRIMMA 2014

Yo  Zinaitwa African Muzik Magazine Awards ambapo za mwaka huu 2014 zimetolewa huko Eisemann center Texas Marekani na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali akiwemo Diamond wa Tanzania...

ANGALIA BASI LA HOOD LlLIVYO PATA AJALI MBAYA LIKITOKEA MBEYA

Muda mchache baada ajali kutokea   Askari wa usalama wa barabarani wakiwa wamefika eneo la tukio  na baadhi ya Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo  Basi la Hood limepata ajali asubuhi hii likitoka Mbeya haijafahamika mara...

Saturday, 26 July 2014

ASERNE WENGER AFICHUA SIRI YA KUOKOA KIWANGO CHA AARON RAMSEY

BOSI wa Asernal, Mfaransa, Aserne Wenger amefichua siri kuwa alikaa kwa kirefu na Aaron Ramsey kwa lengo la kuzungumza naye ili kunusuru kiwango cha nyota huyo wa Wales. Majeruhi ya mfululizo iliathiri sana kiwango cha nyota huyo mwenye miaka 23, lakini alionekana...

MARCIO MAXIMO AHITAJI KUONA UWEZO WA KHAMIS KIIZA NA EMMANUEL OKWI

Baada ya Maximo kumsajili Jaja Wanachama na Mashabiki wa timu hiyo wamekuwa wakiumiza kichwa kutaka kujua mchezaji gani kati ya Kiiza na Okwi atakatwa kwenye usajili   KOCHA wa Yanga Marcio Maximo amesema pamoja na kumpa mkataba wa miaka miwili Mshambuliaji...

KOCHA WA ZAMANI STARS ASEMA KIKOSI CHA NOOIJ KITAING'OA MSUMBIJI

Imechapishwa Julai 26, 2014, saa 6:53 mchana Aliyewahi kuwa Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Sylvester Marsh, amesema uwezo ulioonyeshwa na timu hiyo katika mechi yake dhidi ya Msumbiji ni mkubwa na anaamini itashinda katika mchezo wa marudiano. Stars ilikutana...

HII NDIYO SABABU YAJOSE MOURINHO KUGOMA KUMSAJILI LUKE SHAW?, SOMA HAPA.......

+3 Mtoto: Mourinho amesema hakutaka kumsajili Shaw kwasababu mshahara wake ni mkubwa sana.   JOSE Mourinho amesema hakuthubutu kutaka kumsajili Luke Shaw kwasababu mshahara aliohitaji kinda huyo `ungeua umoja' wa timu kwenye vyumba vya kubadilishia...

MKURUGENZI AC MILAN ASEMA KWA ASILIMIA 99.9% MARIO BALOTELLI HANG'OI MGUU!

+3 Ana furaha katika rangi nyekundu na nyeusi: Mario Balotelli anaonekana kama vile ataondoka katika klabu ya  AC Milan majira haya ya kiangazi.   DHAMIRA ya Arsenal kutaka kumsajili Mario Balotelli inaonekana kufa , baada ya Mkurugenzi...