Friday, 13 June 2014

HII NDIZO VURUGU ZILIZOZUKA KATIKA UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA BRAZIL,WATU WAJERUHIWA

SAA kadhaa kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil, Jiji la Sao Paulo kwa mara nyingine zimeibuka vurugu zilizosababisha waru kujeruhiwa.
Polisi walilipua mabomu ya machozi na kupambana vikali na mashabiki maeneo ya kituo cha Caaro.
Helikopta za jeshi zililizunguka Jiji hilo huku polisi wakipambana na raia .

Vurugu: Mwanamke akisukumwa na polisi
Clashes: Riot police fire tear gas during the demonstrations as they to calm the scenes in Brazil
Injured: CNN producer Barbara Arvanitidis is rushed away on a stretcher after breaking her arm
Majeruhi: Mtayarishaji wa CNN, Barbara Arvanitidis akikimbizwa na machela baada ya kuvunjika mguu kwenye vurugu hizo
Help: Barbara Arvanitidis is treated by paramedics after she is injured by a gas canister
Msaada: Barbara Arvanitidis akipatiwa huduma ya kwanza
Standoff: A picture uploaded to Twitter shows a wall of police and a crowd in front of them
Polisi kazini]
Detained: A protester is restrained by police attempting to calm the 100-strong demonstration
Shabiki akidhibitiwa na polisi
Captured: TV footage showed a protester being held by police during the Sao Paulo riots
Burning: Demonstrators from Black Bloc clash with police and create a barrier of fire in Sao Paulo
Moto: raia wakipambana na polisi Sao Paulo
Shoot: Police fire rubber bullets at protestors in Sao Paulo on the main highway to the stadium
Conflict: Protestors from anarchist group Black Bloc clash with police during the protest against the World Cup
A demonstator receives assistance after being injured during an anti-World Cup protest in Brazil
Shabiki akipatiwa msaada baada ya kuumi

Related Posts:

0 comments: