Friday, 23 May 2014

KINANA AENDELEA KUCHAPA KUCHAPA KAZI MKOANI SINGIDA

1._Katibu_Mkuu_wa_CCM_Abdulrahman_Kinana_akihutubia_wananchi_kwenye_Uwanja_wa_shule_ya_sekondari_Sebuka__wilaya_ya_Ikungi_mkoani_Singida_Mei_22_2014_57131.jpg

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi kwenye Uwanja wa shule ya sekondari Sebuka,  wilaya ya Ikungi mkoani Singida, 
3._Jengo_hili_lililoko_Kijiji_cha_Msimi_Kata_ya_Sepuka_wilayani_Ikungi_lilifunguliwa_na_Rais_Jakaya_Kikwete_wakati_huo_akiwa_Waziri_wa_Mambo_ya_Nje_na_Ushirikiano_wa_Kimataifa_f77b0.jpg
Jengo hili lililoko Kijiji cha Msimi, Kata ya Sepuka wilayani Ikungi, lilifunguliwa na Rais Jakaya Kikwete wakati huo akiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
7._Baadhi_ya_wanachama_wapya_wa_CCM_wakila_kiapo_baada_ya_kupewa_kadi_na_Kinana_baada_ya_uzinduzi_wa_Ofisi_ya_CCM_kata_ya_Inghombwe_wilayani_Ikungi_a1b7d.jpg
Baadhi ya wanachama wapya wa CCM wakila kiapo baada ya kupewa kadi na Kinana baada ya uzinduzi wa Ofisi ya CCM kata ya Inghombwe wilayani Ikungi.HABARI NA (Awadh Ibrahim).

Related Posts:

0 comments: