Wednesday 4 November 2015

AJALI YATOKE MAONEO YA MTONI ZANZIBAR CHEKI HAPA

Ajali Maeneo ya Mtono Lakini Salama kwa Abiria wa Gari Hizo.

 Wananchi  wa eneo la mtoni barabara ya bububu wakiangalia gari  yenye namba za usaji Z 284 BD ,iliokuwa ikitokea  mjini kuelekea bububu kupata ajali wakati ikijaribu kuzipita gari wakati ikiwa katika mwendo na kusababisha ajali ya kuigonga gari yenye namba za Usajili Z 626BV, ikitokea bububu kuelekea mjini, katika ajali hiyo hakuna mtu aleyejeruhiwa


0 comments: