Sunday 15 November 2015

HII NDIYO KAULI YA Halima Mdee Kuhusu Mauaji wa Mwenyekiti wa Chadema Geita Aliye Uawa Kwa Ajili ya Siasa

 
Watu Mbali mbali Wameguswa na Kifo cha Kamanda wa Chadema Mawazo Ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita...
Hapa chini Nimekuwekea ujumbe kutoka kwa Halima Mdee aliondika mtandaoni:
"Ameuwawa Kwa Sababu tu ya Uchaguzi wa Kata!!! Damu yake Haitapotea BURE!!! Ipo siku, Wanyonge Watanyanyuka" Halima James Mdee

0 comments: