Saturday 21 November 2015

ujangili waanza kupungua katika mbuga za wanyama za Tanzania

hali ya ujangili wa kutisha ambao ulitikisa nchi katika kipindi cha miaka miwili iliyopita katika hifadhi za wanyamapori hapa nchini umeanza kupungua kwa kasi baada ya serikali kufanikiwa kudhibiti mianya iliyokuwa inatumiwa na majangili kuingia katika hifadhi za taifa .

0 comments: