Sunday 8 November 2015

Nani Unahisi Atakuwa Waziri/Waziri Mkuu wa 2015-2020?


Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rais mteule wa awamu ya tano, nani unahisi atateuliwa na mheshimiwa John Pombe Magufuli kuwa Waziri Mkuu ?

0 comments: