Mfanyakazi wa ndani wa mbunge wa Jimbo la Moshi vijijini Ciril Chama (CCM) aitwaye Mariam Said (16) amefariki dunia mapema alfajiri ya leo ikiaminika kwamba kifo chake kimesababishwa na kipigo toka kwa mke wa Mbunge Chami, sababu kubwa ikielezwa kuwa binti huyo ambaye ni muislamu alikataa kata kata kwenda kuhudhuria misa kanisani.

Msimamo wa binti huyo ulimpelekea kipigo kikali, na hata mashuhuda walioshuhudia kipigo hicho cha kikatili kwa huyo binti, mke wa Mbunge inasemekana aliwajibu kwa lugha ya kejeli na kuwaambia hakuna mtu anaweza kumfanya chochote hata akimwua, kwani serikali ni yao, na CCM ndiyo inayoongoza dola, kwamba mahakama yetu, polisi wa kwetu, hakuna kima atakayenigusa. Alifoka mke wa Chami.

RIP mdogo wangu Mariam Said



Chanzo: Moshi fm



Quote By oyeiko ngeleja View Post

Katika hali isiyo ya Kawaida mfanyakazi wa ndani mariam said umri 16 ambaye anafanya kazi katika nyumba ya mbunge wa moshi vijijini mh.ciril (ccm) ameuliwa kikatili baada ya kipigo kikali kutoka Kwa Mke wa mbunge huyo.
Aidha kosa la kipigo hicho ni baada ya binti huyo kukataa kwenda kanisani wakati binti huyo ni muislamu.

Mashuhuda wa tukio hilo wamekiri dhidi ya tukio hilo pia walipojaribu kumkanya Mke huyo wa mbunge asimpige binti huyo ndipo mwanamke huyo alipowajibu Kwa maneno ya dhihaka kuwa ata akimuua binti huyo hakuna atakae mfunga kwani serikali yote ya ccm ni yao.

Daaaaah matokeo yake binti amekufa,inauma sana binti mariam said kafa akiwa bado mdogo hii inatokana na watawala kuona wanaweza kufanya chochote dhidi yetu masikini.

Andika neno R.I.P mdogo wetu apumzike Kwa amani.