Thursday 24 July 2014

MBEYA.:MAGARI YANAYO HARIBIKA BARABARANI YAWA KERO KWA WASAFIRI.


Malori makubwa ya mizigo yanayoharibika yakiwa safarini kwenye barabara  kuu kuelekea zambia yamekuwa na kikwazo kikubwa kwa wasafiri  hususani  katika maeneo ya kadege na Nzovwe

A  akizumza na mtandao huu Abilia wa dalada la bwana Bosco Mlamka aliamua kufunguka na kusema  wasafiri wamekuwa wakipata shida sana kuanzia maeneo ya kadege mpaka Nzovwe  kwa kuwa  magari  ya abilia (daladala) mara nyingi yamekuwa kwenye foreni kubwa kutokana na malori ya mizigo yanayoharibika. Hali ambayo husabaisha kujelewa katatika shughuli zao

Aidha abilia huyo aliongeza  kuwa imekuwa ikiwalazimu kutembea kwa miguu na kupelekea kuchelewa safari zao na hata kula hasara nauli waliolipa.

Naye dreva wa lori ambaye aliji tambulisha kwa jina moja la saidi ambaye   lori alikiri kuwepo kwa tatizo hilo na kudai kuwa eneo hilo lina mlima mkali na mrefu ndiyo mana malori mengine yanashindwa

Hakuishia hapo na kusema pia madereva daladala wanavurugu kwani wamekuwa wakijichomeka kwenye magari bila utaratibu na kupelekea msongamano. Pia aliamua kupaza sauti na kusema anaiomba serkali ipanue barabara ili kuepuka msongamano wa magari usio wa lazima.

0 comments: