Sunday 27 July 2014

ANGALIA BASI LA HOOD LlLIVYO PATA AJALI MBAYA LIKITOKEA MBEYA


Muda mchache baada ajali kutokea 
 Askari wa usalama wa barabarani wakiwa wamefika eneo la tukio  na baadhi ya Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo


 Basi la Hood limepata ajali asubuhi hii likitoka Mbeya haijafahamika mara moja lilikuwa linaelekea wapi na haijafahamika kama kuna watu waliojeruhiwa, endelea kufutilia hapa kupata taarifa kamili hii ni taarifa ya awali.

Picha Kwahisani ya Mbeya yetu Blog

0 comments: