Thursday 24 July 2014

FRANK LAMPARD KUTAMBULISHWA NEW YORK CITY BAADA YA KUKAMILISHA USAJILI



The end of an era: Frank Lampard looks set to join New York City FC
Mwisho wa maisha Chelsea: Frank Lampard anajiunga na  New York City FC.


Frank Lampard anatarajiwa kuthibitishwa kuwa mchezaji mpya wa  New York City FC leo majira ya saa 9.30 alasiri.
Mkutano na waandishi wa habari umetangazwa mjini New York kwa ajili ya kutambulisha mchezaji mpya na anatarajiwa kuwa nyota wa zamani wa Chelsea.
Tukio hilo litafanyika Brooklyn Bridge Park, ambalo pia litamhusisha Lampard kufundisha vijana 40 wa kliniki ya  watoto ya Marekani.
Serial winner: Lampard won three Peemier League titles, four FA cups, two League Cups, a Europa League and the Champions League (above) with the Blues
 Lampard alishinda makombe matatu ya ligi kuu, makombe manne ya FA na makombe mawili ya ligi na moja la UEFA (pichani juu).

Lampard alimaliza mkataba wake na Chelsea mapema majira haya ya kiangazi na hajaongezewa kandarasi nyingine.

0 comments: