Monday 3 June 2013

DK SHEIN AMARIZA ZIARA YAKE NCHINI CHINA

 
 

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Jimbo la Xiamen Hong Chengzong,katika uwanja wa Ndege wa Mji huo Nchini china,akirejea Zanzibar baada ya kumalizika ziara yake nchini humo jana
 

0 comments: