Monday, 14 July 2014

NGALIA WACHEZAJI WA UJURUMAN NA WAPENZI WAO WALIVYO FURAHIA JANA

  SAMI KHEDIRA NA MPENZI WAKE...MAMBO YA KIKUBWA HAYA, WATOTO WAPITE KAMA HAWAJAONA!
Furaha: Kiungo wa Ujerumani, Sami Khedira akipigana mabusu ya mate kwa mate na mpenzi wake, Lena Gercke baada ya kukabidhiwa Medali ya ushindi wa Kombe la Dunia jana, kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Argentina jana. Khedira hakucheza kwa sababu alikuwa majeruhi, lakini mwenye furaha sana baada ya mechi
Nevermind: Sami Khedira gets congratulated by Lena Gercke after his injury ruled him out
Hug: Sami Khedira is greeted by his partner Lena Gercke
Joto la mpenzi: Sami Khedira akipongezwa na mpenzi wake, Lena Gercke 
Concerned: Khedira's girlfriend Gercke was unable to watch her man in action because of injury

 

Mpenzi mgumu: Mshambuliaji wa Ujerumani Andre Schurrle akiwa hana habari wakati mpenzi wake, Montana Yorke alip[omfuata uwanjani kumpongeza kwa kutwaa Kombe la Dunia kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Argentina. Schurrle ndiye aliyetoa krosi ya bao lililofungwa na Mario Gotze.
Weep: Schurrle cries as he hugs girlfriend Montana Yorke on the pitch
Comfort: Andre Schurrle is consoled by his girlfriend Montana Yorke after Germany won the World Cup
Mwanamke anajipendekeza? Andre Schurrle akiwa jana hahusiki huku Montana »  
BUSU LA MABUSU NI HILI LA MATS HUMMELS NA CATHY WAKE
Busu tamu zaidi: Beki wa Ujerumani, Mats Hummels akipigana bush motomoto na mpenzi wake, Cathy Fischer baada ya fainali ya Kombe la Dunia jana, nchi yake ikiibwaga Argentina 1-0

Cheki toto hilo: Mpenzi wa Khedira, Lena Gercke akipiga ulabu

Related Posts:

0 comments: