
DAKIKA ZA LALA SALAMA
Mabao
ya Pogba dakika ya 79 na Yobo la kujifunga dakika ya pili ya muda wa
nyongeza baada ya kutimu dakika 90 za kawaida za mchezo, yaimepeleka
Ufaransa Robo Fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Nigeria 2-0usiku huu ...