Sunday 20 March 2016

Up date kutoka zanzibar Hamad Rashid: ASEMA Nina Uhakika wa Kuwa Rais wa Zanzibar au Makamu wa Rais


Mgombea Urais kupitia Chama cha  ADC Mheshimiwa Hamad Rashid ametimiza haki yake ya msingi ya kupiga kura. 

Akizungumza na Waandishi mara baada ya kupiga kura katika kituo cha shule ya sekondari  Wawi Kisiwani  Pemba,  Rashid amesema  anauhakika wa kuibuka mshindi wa kiti cha Urais wa Zanzibar. 

Amesema kama hatashinda Urais,  basi atakuwa Makamu wa Rais

0 comments: