Sunday 13 March 2016

Kasi ya Magufuli Yamkuna Rais wa Rwanda Paul Kagame...Aamua Kumuiga Kwa Kufanya Hili Kwa Viongozi wa Umma

 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema kuwa atapunguza safari za nje za watumishi wa umma. Apongeza hatua anazochukua Rais Magufuli. 

Ameyasema hayo Jana wakati wa akiwahutubia viongozi mbalimbali wa Serikali yake 

0 comments: