Sunday 13 March 2016

Diamond Platnumz Amtumia Salamu za Pongezi PAUL Makonda Baada ya Kuteuliwa Kuwa Mkuu wa Mkoa...Asema Haya

 
Mwanamuziki Mwenye mafanikio makubwa katika mziki wa Bongo flava ametuma salamu za pongezi kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika haya:
Mafanikio hujaga kwa juhudi na kuto kukata tamaa... Hongera sana my brother @PaulMakonda kwa kuchaguliwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam... nakutakika kila lenye kheri kwenye kuhakikisha Dar es salaam yetu Inang'ara  @PaulMakonda 

0 comments: