Sunday 20 March 2016

Matokeo ya uchaguzi wa zanzibar yatangazwa kwa baadhi ya Majimbo DK shein Aongoza

    

Baadhi Ya Matokeo ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Baraza La Wawakilishi Zanzibar


Matokeo ya uchaguzi wa marudio uliofanyika jana visiwani zanzibar kwa upande wa wajumbe wa baraza la wawakilishi yameanza kutangazwa kisiwani pemba.
 
1.Jimbo la Chakechake aliyeshinda ni Suleiman Said wa CCM

2.Jimbo la Ole mshindi ni Musa Ali Musa wa CCM

3.Jimbo la Wawi mshindi ni Hamad Ali Rashid wa CCM

4.Jimbo la Ziwani mshindi ni Asaa ali Hamad wa UPDP

5.Jimbo la Chonga aliyetangazwa mshindi ni Shaibu Ali wa CCM

0 comments: