Sunday 18 May 2014

TAIFA STARS YAIBUKA NA USHIND WA BAO 1-0 DHIDI YA ZIMBABWE LEO

 
IMG_6719 
Timu ya Tanzania taifa stars ilikuwa ikicheza leo  katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni ya leo matokeo  ni  Taifa Stars imeibuka na ushindi wa goli moja kwa bila goli lililo patikana kupitia john bocco adebayo katika dakika ya 30 kipindi  cha kwanza 
kwa matokeo haya inawafanya  taifa stars kuhitaji sare ya aina yeyote katika mechi yao ya marudiano itakayo fanyika baada ya wiki moja nchini zimbabwe

0 comments: