Monday 19 May 2014

RAIS KIKWETE AONGOZA KUAGA MWILI WA MWAKAPUNGI DAR

 
D92A3800 D92A3809 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho na kufariji familia ya  aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini marehemu Arthur Mwakapugi huko nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam jana.Mwakapugi ambaye alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 64 alitumikia taifa kwa miaka 30 mfululizo katika nafasi mbalimbali.Marehemu baadaye alisafirishwa kwenda kuzikwa kijijini kwake Ilundo wilaya ya Tukuyu(picha na Freddy Maro).

0 comments: