Saturday 13 December 2014

ERASTO NYONI NDIYE MWANASOKA BORA WA TUZO ZA TASWA…..

5

Erasto nyoni akipokea tuzo yake….
1
Francis Cheka akipokea tuzo ya bondia bora kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Mecky Sadick
2
3
Rais wa TFF Jamal Malinzi akimkabidhi tuzo mchezaji bora  wa mchezo wa gofu
4
Mshambuliaji wa Azam FC Kipre Tchetche akipokea tuzo ya mwanasoka bora wa kigeni..
6
7
Feisal Pinto pia alikuwepo…….
8
Watangazi Enock Bwigane ( TBC ) pamoja na Sauda Mwilima ( STAR TV )
9
Mkurugenzi wa Radio One Deo Rweyunga akimkabidhi mjumbe wa kamati ya utendaji ya RT bwana Tullo Chambo tuzo  kwa niaba ya mwanariadha bora.
Capture
kutoka kushoto ni Rais wa TFF Jamal Malizi , Mkurugenzi wa wizara ya michezo ndugu Leonard Thadeo pamoja na Mahmoud Zubeiry mmiliki wa blog ya  Binzubeiry.

0 comments: