Wednesday 24 December 2014

APORWA NA KUJERUHIWA KWA RISASI

Mpita njia ajeruhiwa kwa Risasi na Majambazi waliovamia na kupora ktk duka la Pesa Morocco Kinondoni


Less than one hour ago here at Morocco nyuma ya Airtel Building a lady was shot to dead!!

Bodaboda walivamia kiduka cha M-PESA, tiGO PESA na Airtel Money; wakati wanaondoka wakawa wanapiga risasi ikampata huyu dada alikuwa anajipitia barabarani hajui hili wala lile.


- Kumbe huyu dada hakufa. Risasi ilimpalaza upande wa kulia. Walimshoot baada ya kuonekana anaongea na simu, baada ya tukio la kumuibia dada mwingine, ambaye inasemekana alikuwa ametokea Mlimani City na Hela.

- Taarifa za usiku wa leo, Disemba 23, 2014 zinadai Glory kaaga dunia! R I P
 

0 comments: