Sunday 18 May 2014

WATEJA WA TANESCO WALIA NA MITA MPYA ZA LUKU, ZATHIBITIKA HAZINA UBORA. NI NCHI YA KITU KIDOGO!


Waziri wa Nishati na madini Mh Sospeter Muhongo.
* Wawafungia wateja mita zinazokata umeme kila baada ya dakika tano kuanzia saa moja na dakika 34 usiku.

* Mteja hawezi kuweka namba kupitia mita husika, anapatiwa kifaa kingine kilichoandoka Inhemeter customer interface unit. Model CIU(PDHO).

* Kina VOT 230V. 2013, kinatumia betri za Nne za gharama na umeme.

 * Mita ni MOdel DDZ.

* mafundi wa dharula wathibitisha kuwa hazina ubora.

* Wakutana na kikosi kazi cha kalulunga Media eneo la CCM Ilomba Jijini Mbeya, usiku wa saa 2 na dakika 23, wakiwa na gari lenye namba za usajili SM 37781.

* Wasema zimetengenezwa India, hazifai na usiku huo walipata malalamiko ya wateja wawili. 
Habari na kalulunga media

0 comments: