Saturday 17 May 2014

WANANCHI MBOZI WALALAMIKIA UCHELEWESHAJI WA KESI

 
mdau_83a94.jpg
Mmoja wa wadau wa mahakama katika Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya, Brighton Simwinga (kushoto) akibainisha baadhi ya changamoto zinazoikabili idara ya mahakama wilayani humo ikiwa ni pamoja na ucheleweshwaji wa kesi kunakopelekea wananchi wengi kukosa haki (Justice delayed is justice denied) wakati wa mahojiano maalum na mwandishi wa habari na mtangazaji wa KwanzaJamii Redio, Sagini Edward Majura hivi karibuni. Hata hivyo mdau huyo alipendekeza kuwepo na chombo cha usimamizi wa mahakama ngazi ya wilaya kama vile Baraza la Wazee cha kuwabana mahakimu wanapokosea kutenda haki kwa wananchi.(PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

0 comments: