Monday 4 August 2014

WAWILI WAFARIKI WARIPOKUWA WANABATIZWA UBATIZO WA MAJI MENGI

 Deo Corleone View Post
Watu wawili wamefariki dunia baada ya kuzama walipokuwa wanabatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM.

Credit:STAR TV_Habari.

Kagera: Wafariki kwenye Ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa...

0 comments: