Wednesday 27 August 2014

CHINA YAIMWAGIA MISAADA JESHI LA POLISI, NAIBU WAZIRI SILIMA ATOA PONGEZI

PIX 1 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (kushoto) akizungumza katika hafla fupi ya kupokea misaada ya Pikipiki, Kompyuta na Samani za ofisini ambazo zimetolewa na Serikali ya China. Naibu Waziri Silima aliishukuru China kwa misaada hiyo iliyotolewa kwa ajili ya kulisaidia Jeshi la Polisi. Kulia ni Balozi wa China nchini Tanzania, Lu Youqing. Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
PIX 2 
Balozi wa China nchini Tanzania, Lu Youqing akizungumza kabla ya kumkabidhi misaada ya Pikipiki, Kompyuta na Samani za ofisini kwa ajili ya kusaidia shughuli za utendaji za Jeshi la Polisi, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (kulia). Misaada hiyo imetolewa na Serikali ya China. Naibu Waziri Silima aliishukuru China kwa misaada hiyo iliyotolewa kwa ajili ya kulisaidia Jeshi la Polisi.
PIX 3 
Balozi wa China nchini Tanzania, Lu Youqing akizungumza kabla ya kumkabidhi misaada ya Pikipiki, Kompyuta na Samani za ofisini kwa ajili ya kusaidia shughuli za utendaji za Jeshi la Polisi, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (kulia). Misaada hiyo imetolewa na Serikali ya China. Naibu Waziri Silima aliishukuru China kwa misaada hiyo iliyotolewa kwa ajili ya kulisaidia Jeshi la Polisi.
PIX 4 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima akiiwasha moja ya pikipiki zilizotolewa na Serikali ya China kwa ajili ya kulisadia Jeshi la Polisi. Jumla ya pikipiki 50 zilitolewa na China ikiwa ni misaada yao ya mara kwa mara kwa ajili ya kulisadia jeshi hilo kwa lengo la kukabiliana na uhalifu nchini. Hata hivyo, Naibu Waziri Silima aliishukuru Serikali ya China kupitia Balozi wake nchini, Lu Youqing (wapili kushoto).
PIX 6 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati-waliokaa), Balozi wa China nchini, Lu Youqing (wapili kulia), Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Omar Juma Kaniki (wapili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Jeshi la Polisi na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Serikali

0 comments: