Wednesday 6 August 2014

SAGNA AANZA RASMI KAZI MAN CITY, APEWA JEZI NUMBER 3


Karibu sana: Beki Bacary Sagna kutoka Arsenal akiwa ameshika jezi namba tatu aliyokabidhiwa katika timu yake mpya, MANCHESTER CITY baada ya kujiunga nayo tasmi jana na kuanza mazoezi Uwanja wa Etihad mjini Manchester.
All smiles: Sagna shares a joke with City's head of media relations Simon Heggie (left) after being unveiled
Sagna akitaniana na Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Man City, Simon Heggie (kushoto) baada ya kutambulishwa
New arrival: Nasri introduces his former Arsenal team-mate Bacary Sagna to his manager Pellegrini
SAMIR NASRI akimtambulisha mchezaji menzake wa zamani wa Arsenal, Bacary Sagna kwa kocha wao Pellegrini
Reunited: The duo have both played together at Arsenal in the past
Wameungana tena: Wafaransa hao wawili awali walicheza pamoja Arsenal 

0 comments: