HOME »
» SANTOS AANZA KAZI YANGA SC LEO, MAXIMO AMPA DARASA TOSHA
 |
| Kocha
Mkuu wa klabu ya Yanga SC, Marcio Maximo akizungumza na kiungo
aliyekuja majaribio katika klabu hiyo, Mbrazil mwenzake, mshambuliaji
Geilson Santos Santana 'Jaja' asubuhi ya leo kabla ya kuanza kwa mazoezi
Uwanja wa sekondari ya Loyola, Mabibo, Dar es Salaam. Jaja aliwasili
jana mchana akitokea Brazil. |
 |
| Wachezaji wa Yanga wakikimbia taratibu |
0 comments:
Post a Comment