Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Abbas Kandoro mara baada ya kuwasili katika ofisi za chama hicho mjini Vwawa Wilaya ya Mbozi asubuhi hii akitokea wilaya ya Momba katika ziara yake ya kikazi ya mikoa mitatu Ruvuma, Mbeya na Njombe, Kinana ameongozana na ujumbe wake akiwa na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-MBOZI
Baadhi ya machifu wa Mbozi wakisubiri kusalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifutrahia ngoma ya asili ya wanyiha iliyokuwa ikitumbuizwa katika mapokezi hayo.
- Imeandikwa Na Mjengwa Blog
0 comments:
Post a Comment