Dar es Salaam. Mwenyekiti wa
Chadema Mkoa wa Lindi, Ally Chitanda, ametangaza kujiondoa katika nafasi
hiyo akieleza kuchoshwa na uamuzi wa kikanda na kikabila unaoendelea
ndani ya chama hicho.
Mbali na Uenyekiti, Chitanda pia
alikuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa na Katibu Ofisi ya Katibu Mkuu-
Sekretarieti nafasi ambayo pia alitangaza...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Saturday, 30 November 2013
ALIYE BAKWA tFUTIWA MAASADA MOSHI
Moshi. Uongozi
wa Kijiji cha Kiria, Kata ya Mamba Kusini wilayani Moshi, Kilimanjaro
umeiomba Serikali na taasisi zinazojihusisha na ukatili wa kijinsia
kumsaidia mtoto mwenye umri wa miaka 13 aliyebakwa na kulawitiwa na baba
yake mzazi.
Mwenyekiti wa kijiji hicho, Doroth Mtui alisema
mtoto huyo kwa sasa amehifadhiwa kwenye...
KINANA AMKALIA KOONI MKURUGENZI WA MBOZI
Mbozi. Kaimu Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Dk Charles Mkambachepa juzi alionja joto
la jiwe baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana kumtaka
arudishe haraka Sh209 milioni za Saccos ya Chama cha Walimu
zilizochukuliwa na halmashauri hiyo...
WAINGEREZA WA TINDIKALI WALIA NA SERIKALI
Dar es Salaam. Familia ya
Waingereza, Kirstie Trup na Katie Gee, wote wenye umri wa miaka 18,
waliomwagiwa tindikali huko Zanzibar, wameiomba Serikali ya Uingereza
kuishinikiza Tanzania kuharakisha kuwawajibisha waliohusika na tukio
hilo.
Waingereza hao ambao walikuwa walimu wa kujitolea
katika shule ya St...
CHALENJI CUP: ZANZIBAR YA CHAPWA 3-1
WENYEJI KENYA WAICHAPA SOUTH SUDAN!
JUMAPILI: KILI STARS v SOMALIA
WENYEJI
wa CHALENJI CUP, Kenya, leo wameifunga South Sudan Bao 3-1 na Ethiopia
pia kuichapa Zanzibar Bao 3-1 katika Mechi za Pili za Kundi A
zilizochezwa leo huko Nyayo Stadium, Nairobi.
Kwenye Mechi...
KOMBE LA SHIRIKISHO: TP MAZEMBE YASHINDA 2-1LAKINI BINGWA CS SFAXIEN!!
MBWANA SAMATTA APIGA BAO LA PILI!!
KLABU ya Tunisia CS Sfaxien leo imetwaa Taji lao la 3 la Kombe la Shirikisho huko Lubumbashilicha ya kuchapwa Bao 2-1 na TP Mazembe.
MAGOLI:
TP Mazembe 2
-Cheibane Traore Dakika ya 10
-Mbwana Ally Samata 23
Club Sportif Sfaxien...
LIGI KUU ENGLAND: ARSENAL YAPIGA 3, YAENDLEA KUJIZATITI KILELENI MWA LIGI
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Novemba 30
Aston Villa 0 Sunderland 0
Cardiff 0 Arsenal 3
Everton 4 Stoke 0
Norwich 1 Crystal Palace 0
West Ham 3 Fulham 0
[Saa za Bongo]
20:30 Newcastle v West Brom
EVERTON 4 STOKE 0
Bao za Deulofeu, Coleman,...
:KUZAGAA KWA SILAHA NA ONGEZEKO LA MAUJI TANZANIA (AUDIO SOPHIA KESSY)
Sophia Kessy | Mubelwa Bandio
Si jambo geni tena hivi sasa nchini Tanzania kusikia fulani kashambuliwa au kauawa kwa risasi. Silaha za moto hapa nchini hasa zile zinazomilikiwa kiholela zimekuwa zikimilikiwa na kila anayetaka... kama vocha za simu. Hata mtu mwenye...
TAARIFA YA KUSIMAMISHWA UONGOZI KWA MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYANI MUNDULI
TAARIFA KWA UMMAKwa
niaba ya baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, napenda kuujulisha umma
wote kwa ujumla kuwa mwenyekiti wa wilaya ya monduli Mchungaji Amani
Silanga Mollel amekoma/amesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya
ya monduli kuanzia tarehe 29 Novemba 2013 kufuatia tuhuma nzito za
uvunjifu wa kanuni za maadili ya chama.Hatua hii...
TAARIFA YA KUSAINIWA KWA ITIFAKI YA UMOJA WA FEDHA WA AFRIKA MASHARIKI
L-R
ni Rais: Pierre Nkurunzinza (Burundi), Jakaya Mrisho Kikwete
(Tanzania), Uhuru Kenyatta (Kenya), Yoweri Museveni (Uganda) na Paul
Kagame (Rwanda) muda mfupi baada ya kutia saini itifaki ya Umoja wa
Fedha wa Afrika Mashariki (picha: Freddy Maro/IKULU)
TAARIFA...
TAARIFA YA CHADEMA:UFAFANUZI KUHUSU TAMKO LA NDUGU A.O. CHITANDA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA NDUGU A.O. CHITANDA
Kutokana
na kuwepo kwa taarifa ya Ndugu A.O. Chitanda, huku pia waandishi wa
habari wakitaka kujua na kupata ukweli kutoka Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (CHADEMA, tunapenda kutoa ufafanuzi mfupi;Kwanza
suala la maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwavua uongozi...
Friday, 29 November 2013
KINANA AWASILI VWAWA WILAYANI MBOZI
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi
Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Abbas
Kandoro mara baada ya kuwasili katika ofisi za chama hicho mjini Vwawa
Wilaya ya Mbozi asubuhi hii akitokea wilaya ya Momba katika ziara yake
ya kikazi ya mikoa...
MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA TCRA KANDA YA MBEYA YAFUNGULIWA
Mkuu
wa Wilaya ya Rungwe, Crispin Meela ambaye amemuwakilisha mkuu wa mkoa
wa Mbeya katika sherehe za maadhimisho ya miaka 10 ya TCRA Mkoani Mbeya
akifungua sherehe hizo katika ukumbi wa Mtenda Soweto Jijini Mbeya.
Meneja
wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA)...
KERO YA VIFUSI BARABARA YA VINGUNGUTI JIJI DAR ES SALAM
Kifusi kilichowekwa na Kampuni ya ujenzi ya
Patty Interplan ya jijini Dar es Salaam inayojenga barabara ya Vingunguti hadi
Barakuda kimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo kuwa kimekuwa
kereo kutokana na kutosambazwa kwa muda mrefu na kusababisha...