MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Saturday, 30 November 2013

CHADEMA MAJANGA: MW/KITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI AJIUZULU

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Lindi, Ally Chitanda, ametangaza kujiondoa katika nafasi hiyo akieleza kuchoshwa na uamuzi wa kikanda na kikabila unaoendelea ndani ya chama hicho. Mbali na Uenyekiti, Chitanda  pia alikuwa  Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa na Katibu Ofisi ya Katibu Mkuu- Sekretarieti nafasi ambayo pia alitangaza...

ALIYE BAKWA tFUTIWA MAASADA MOSHI

  Moshi. Uongozi wa Kijiji cha Kiria, Kata ya Mamba Kusini wilayani Moshi, Kilimanjaro umeiomba Serikali na taasisi zinazojihusisha na ukatili wa kijinsia kumsaidia mtoto mwenye umri wa miaka 13 aliyebakwa na kulawitiwa na baba yake mzazi. Mwenyekiti wa kijiji hicho, Doroth Mtui alisema mtoto huyo kwa sasa amehifadhiwa kwenye...

KINANA AMKALIA KOONI MKURUGENZI WA MBOZI

Mbozi. Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Dk Charles Mkambachepa juzi alionja joto la jiwe baada ya Katibu Mkuu wa CCM,  Abdulrahaman Kinana kumtaka arudishe haraka Sh209 milioni za Saccos ya Chama cha Walimu zilizochukuliwa na halmashauri hiyo...

WAINGEREZA WA TINDIKALI WALIA NA SERIKALI

  Dar es Salaam. Familia ya Waingereza, Kirstie Trup na Katie Gee, wote wenye umri wa miaka 18, waliomwagiwa tindikali huko Zanzibar, wameiomba Serikali ya Uingereza kuishinikiza Tanzania kuharakisha kuwawajibisha waliohusika na tukio hilo. Waingereza hao ambao walikuwa walimu wa kujitolea katika shule ya St...

CHALENJI CUP: ZANZIBAR YA CHAPWA 3-1

WENYEJI KENYA WAICHAPA SOUTH SUDAN! JUMAPILI: KILI STARS v SOMALIA WENYEJI wa CHALENJI CUP, Kenya, leo wameifunga South Sudan Bao 3-1 na Ethiopia pia kuichapa Zanzibar Bao 3-1 katika Mechi za Pili za Kundi A zilizochezwa leo huko Nyayo Stadium, Nairobi. Kwenye Mechi...

KOMBE LA SHIRIKISHO: TP MAZEMBE YASHINDA 2-1LAKINI BINGWA CS SFAXIEN!!

MBWANA SAMATTA APIGA BAO LA PILI!! KLABU ya Tunisia CS Sfaxien leo imetwaa Taji lao la 3 la Kombe la Shirikisho huko Lubumbashilicha ya kuchapwa Bao 2-1 na TP Mazembe. MAGOLI: TP Mazembe 2 -Cheibane Traore Dakika ya 10 -Mbwana Ally Samata 23 Club Sportif Sfaxien...

LIGI KUU ENGLAND: ARSENAL YAPIGA 3, YAENDLEA KUJIZATITI KILELENI MWA LIGI

LIGI KUU ENGLAND RATIBA/MATOKEO: Jumamosi Novemba 30 Aston Villa 0 Sunderland 0 Cardiff 0 Arsenal 3 Everton 4 Stoke 0 Norwich 1 Crystal Palace 0 West Ham 3 Fulham 0 [Saa za Bongo] 20:30 Newcastle v West Brom EVERTON 4 STOKE 0 Bao za Deulofeu, Coleman,...

:KUZAGAA KWA SILAHA NA ONGEZEKO LA MAUJI TANZANIA (AUDIO SOPHIA KESSY)

Sophia Kessy | Mubelwa Bandio Si jambo geni tena hivi sasa nchini Tanzania kusikia fulani kashambuliwa au kauawa kwa risasi. Silaha za moto hapa nchini hasa zile zinazomilikiwa kiholela zimekuwa zikimilikiwa na kila anayetaka... kama vocha za simu. Hata mtu mwenye...

TAARIFA YA KUSIMAMISHWA UONGOZI KWA MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYANI MUNDULI

TAARIFA KWA UMMAKwa niaba ya baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, napenda kuujulisha umma wote kwa ujumla kuwa mwenyekiti wa wilaya ya monduli Mchungaji Amani Silanga Mollel amekoma/amesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya monduli kuanzia tarehe 29 Novemba 2013 kufuatia tuhuma nzito za uvunjifu wa kanuni za maadili ya chama.Hatua hii...

TAARIFA YA KUSAINIWA KWA ITIFAKI YA UMOJA WA FEDHA WA AFRIKA MASHARIKI

L-R ni Rais: Pierre Nkurunzinza (Burundi), Jakaya Mrisho Kikwete (Tanzania), Uhuru Kenyatta (Kenya), Yoweri Museveni (Uganda) na Paul Kagame (Rwanda) muda mfupi baada ya kutia saini itifaki ya Umoja wa Fedha wa Afrika Mashariki (picha: Freddy Maro/IKULU) TAARIFA...

TAARIFA YA CHADEMA:UFAFANUZI KUHUSU TAMKO LA NDUGU A.O. CHITANDA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA NDUGU A.O. CHITANDA Kutokana na kuwepo kwa taarifa ya Ndugu A.O. Chitanda, huku pia waandishi wa habari wakitaka kujua na kupata ukweli kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA, tunapenda kutoa ufafanuzi mfupi;Kwanza suala la maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwavua uongozi...

Friday, 29 November 2013

KINANA AWASILI VWAWA WILAYANI MBOZI

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Abbas Kandoro mara baada ya kuwasili katika ofisi za chama hicho mjini Vwawa Wilaya ya Mbozi asubuhi hii akitokea wilaya ya Momba katika ziara yake ya kikazi ya mikoa...

MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA TCRA KANDA YA MBEYA YAFUNGULIWA

  Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Crispin Meela  ambaye amemuwakilisha mkuu wa mkoa wa Mbeya katika sherehe za maadhimisho ya miaka 10 ya TCRA Mkoani Mbeya akifungua sherehe hizo katika ukumbi wa Mtenda Soweto Jijini Mbeya. Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA)...

KERO YA VIFUSI BARABARA YA VINGUNGUTI JIJI DAR ES SALAM

 Kifusi kilichowekwa na Kampuni ya ujenzi ya Patty Interplan ya jijini Dar es Salaam inayojenga barabara ya Vingunguti hadi Barakuda kimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo kuwa kimekuwa kereo kutokana na kutosambazwa kwa muda mrefu na kusababisha...