Wednesday, 16 July 2014

MBUNGE WA SONGWE PHILIPO MLUGO AHITIMISHA SEMINA YA WANAWAKE WA MKOA WA MBEYA

Mbunge mery mwanjelwa alipo wasili katika ukumbi wa ott


Baadhi ya viongozi wasemina wakiandaaa risala kwa mgeni rasami


mbunge wa songwe philipo mlugoalipo wasili katika ukumbi wa ott


Mkufunzi  kutoka  shirika  la YES Mh ISRAEL ILUNDE  kitoa semina wanawake wa mkoa wa mbeya


Mbunge mery mwanjelwa  na mbunge wa songwe philipo mlugo akijadili jambo na mwandishi wa habari wa mbeya highland mh maiko ngalya


mbunge mery mwanjelwa akisoma gazeti la mwananchi muda mfupi  baaada ya kuwasili katika ukumbi wa ottu mbeya



 Mbunge mery mwanjelwa  na mbunge wa songwe philipo mlugo wakijadili jambo na mbele ni mwandishi wa habari wa wa blog ya mbeya greennes na mbeya highland  fm Abdul marwa abdallah


mbunge wa songwe philipo mlugo akiongea na wanasemina


wanasemina wakimsikiza mgeni rasmi


Mbunge mery mwanjelwa  na mbunge wa songwe philipo mlugo wakiwa katika meza kuu


Mbunge mery mwanjelwa akipata chakula baada ya kufunga semina


Mbunge mery mwanjelwa  na mbunge wa songwe philipo mlugo wakienda kupata chakula


 mmoj wa wanasemina akitoa shkru kwa mgeni rasm mh philpo mlugo


Diwa viti maalu merry malama akimkabidhi mgeni rasim risala


 Mbunge Dk mery mwanjelwa akichukuwa zawadi ya kitenge kutoka kwa wanasemina



 mbunge wa songwe philipo mlugo akiongea na wanasemina







Kwa upande wake Mh Mbunge Dk Mery Mwanjelwa amesema kuwa ameamua kuandaa semina hiyo kwa kuleta madiliko kwa  wanawake kwa kupata  elimu ya siasa na Uongozi kwa kuwa itawanufaisha  kwa kuwajengea Ubunifu,Ujasili ,Kujiamini na kufahamu mbinu  za kupambana na wapinzani wa vyama vingine vya siasa ndani ya jiji la Mbeya na Tanzania kwa ujumla ,mabali na hayo  Mh: Dk merry asema kuwa lengo lake kubwa  nikuleta  mabadiko ya maendeleo kwa vijna na wanawake wa mkoa mbeya anamini kuwa semina hii italeta  chachu ya mabadiliko katika siasa.
Nao wanawake waliohudhuria semina hiyo wameshukuru kwa kupewa nafasi kupata Elimu  Uongozi na Uwajibikaji Mbinu na Mikakati ya  kisiasa  ambayo imewapa mwanga ya kujitambua, kupambana na maadui katika siasa ya Tanzania, pia  wame muomba Mbunge huyo kuwapa semina za mara kwa mara  ili waweze  kukumbushana na kuelimishana  kuhusu mambo mbalimbali ya maendeleo.
                                                                                                       
Habari Na:
Abdul  Marwa Abdallah  
     0753320780


0 comments: