Friday, 16 October 2015

TIMU YA WASANII YA MAGUFULI INAITWA TIMU NIMESTUKA YATINGA BARIADI, SIMIYU

 

Wasnii, Ray Kigosina (kulia) akiwa na msanii mwenzie wakizungumza na wananchi wa BARIADI, SIMIYU.
Timu nzima nimestuka ni
Kundi la wasanii wanaomuunga mkono Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Dk John Pombe Magufuli.
Msanii, Aunt Ezekiel akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara.
Juma Nature
Inzpector Harun
Msanii Ashura Mohammed, aliyeko katika kundi la Nimestuka akizungumza.
Mchekeshaji, Kitale akiwasalimia wananchi wa BARIADI, SIMIYU.
Mchekeshaji, Mboto akizungumza.
Juma Nature
Wasnii wa Timu NIMESTUKA, Juma Nature, Inzpector Harun,  wakiwaburudisha wananchi wa BARIADI, SIMIYU.

Related Posts:

0 comments: