Wasanii wa kundi la kampeni la Ninesttuka, wakishambulia jukwaa kuhamasisha wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kamaha mkoani Shinyanga
Mgombea Ubunge jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba, akiomba kura kwa wananchi, katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Shinyanga.
Kada wa CCM ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Makonda, akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa Chrisopher Ole Sendeka akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga
Baadhi ya viongozi wa CCM wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa Mama samia uliofanyika katika jimbo la kahama leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kamaha mkoani Shinyanga
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa, Angela Kizigha, akisalimiana na Mjumbe wa NEC, Gasper Kileo katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
Mgombea Ubunge jimbo la Msalala, Ezekiel Maige akisalimia wananchi wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hasaan ulipozuiwa na wananchi katika eneo la Nundu mkoani Shinyanga leo
Mgombea Ubunge jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (kushoto) akikimbia kuwahi gari lake, bada ya kusalimia wananchi wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hasaan ulipozuiwa na wananchi katika eneo la Nundu mkoani Shinyanga leo
Wananchi wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita leo
Wananchi wakiwa na bango kumfikishia ujumbe, Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita
Mgombea ubunge jimbo la Nyang'wale Hussein Amar akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Geita
Mkuu wa mkoa wa Geita Fatma Mwasa (kulia) akijadiliana jambo na wajumbe wa kamati ya kampeni za CCM kitaofa, Angela Kizigha na Christopher Ole Sendeka katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyag'wale katika mkoa huo leo
Swaga za wananchi a jimbo la Nyang'wale
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMOMonday, 12 October 2015
HOME »
» ANGLIA MAMA SAMIA KWENYE KAMPENI KATIKA MAJIMBO YA SHINYANGA LEO, ATINGA GEITA
ANGLIA MAMA SAMIA KWENYE KAMPENI KATIKA MAJIMBO YA SHINYANGA LEO, ATINGA GEITA
Wasanii wa kundi la kampeni la Ninesttuka, wakishambulia jukwaa kuhamasisha wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kamaha mkoani Shinyanga
Mgombea Ubunge jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba, akiomba kura kwa wananchi, katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Shinyanga.
Kada wa CCM ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Makonda, akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa Chrisopher Ole Sendeka akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga
Baadhi ya viongozi wa CCM wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa Mama samia uliofanyika katika jimbo la kahama leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kamaha mkoani Shinyanga
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa, Angela Kizigha, akisalimiana na Mjumbe wa NEC, Gasper Kileo katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
Mgombea Ubunge jimbo la Msalala, Ezekiel Maige akisalimia wananchi wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hasaan ulipozuiwa na wananchi katika eneo la Nundu mkoani Shinyanga leo
Mgombea Ubunge jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (kushoto) akikimbia kuwahi gari lake, bada ya kusalimia wananchi wakati msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hasaan ulipozuiwa na wananchi katika eneo la Nundu mkoani Shinyanga leo
Wananchi wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita leo
Wananchi wakiwa na bango kumfikishia ujumbe, Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita
Mgombea ubunge jimbo la Nyang'wale Hussein Amar akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Geita
Mkuu wa mkoa wa Geita Fatma Mwasa (kulia) akijadiliana jambo na wajumbe wa kamati ya kampeni za CCM kitaofa, Angela Kizigha na Christopher Ole Sendeka katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyag'wale katika mkoa huo leo
Swaga za wananchi a jimbo la Nyang'wale
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

































0 comments:
Post a Comment