Kama
ulikuwa hujui ngoja nikufahamishe, Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa
huko nchini Uingereza umebaini kuwa kulala chumba chenye mwanga
uliopitiliza kumehusishwa na mtu kuongeza unene wa kupindukia.
Timu ya watafiti kutoka Taasisi ya saratani ya jijini London imebaini
...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Saturday, 31 May 2014
AFARIKI HOSPITALI BAADA YA KUCHELEWESHWA TOPEWA HUDUMA YA AFYA
Unaweza kudhani matukio haya hutokea katika hospitali za kawaida tu.
Hii ni ya kusikitisha zaidi na imetokea katika hospitali kubwa nchini
Uingereza.
Picha hii ya mwisho inamuonyesha mwanamke mmoja aliyekuwa
amezidiwa hospitali na akashindwa kupatiwa dawa hadi kuamua...
RAIS MPYA WA MALAWI AAPISHWA RASMI LEO
Peter Muthirika anayeongoza chama cha DPP ndiye rais mteule nchini Malawi
Rais mpya wa
Malawi Peter Mutharika ameapishwa...
MYIKA AISHUKIA SERIKALI UTOROSHAJI FEDHA NJE YA NCHI
Msemaji wa
kambi hiyo, John Mnyika ambaye amesema katika kipindi cha miaka 39
kuanzia 1970 hadi 2008, Sh9.6 trilioni zilitoroshwa kiharamu kwenda nje.
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji...
MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
“PRESS RELEASE” TAREHE 31.05.2014.
MWANAMKE MMOJA AUAWA KWA KUKATWA NA KITU CHENYE NCHA KALI SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI NA MUME WAKE.
MTU MMOJA AUAWA NA KUNDI LA WANANCHI WALIOAMUA KUJICHUKULIA SHERIA...
SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA
Katibu
Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa
Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi
wengine wa Mkoa wa Singida kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa
hospitali ya...
MSHAMBULIAJI RICKIE LAMBERT AWASILI LIVERPOOL KUPIMA AFYA
Yuko njiani: Rickie Lambert (kushoto akiwa na Adam Lallana) amewasili Liverpool kwa ajili ya vipimo vya afya.
Rickie Lambert amewasili
Liverpool kwa ajili ya kupima afya tayari kwa kukamilisha dili la
uhamisho wa paundi milioni 4 na kurejea Merseyside. ...
MZAZI WA SERGIO KUN AGUERO ASEMA MWANAE ANAPENDA KWENDA BARCELONA
Baba mzazi wa Sergio Aguero amesema mshambuliaji huyo anapenda kwenda Barcelona.
Yuko makini: Kocha mpya wa Barcelona, Luis Enrique anavutiwa na uwezo mkubwa wa Aguer.
Imechapishwa Mei 31, 2014, saa 10: 47 jioni
BABA
mzazi wa Sergio
Aguero ameweka...
MBEYA CITY FC YACHAPWA 1-0 NA VICTORIA UNIVERSITY ROBO FAINALI
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
Imechapishwa Mei 31, 2014, saa 1:52 usiku
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya CECAFA
Nile Basin Cup, Mbeya City fc wameaga mashindano hayo baada ya kufungwa bao 1-0
dhidi ya Victoria University ya Uganda katika mchezo...
UGANDA YATINGA HATUA INAYOFUATA , RWANDA YAIKANYAGA LIBYA 3-0
UGANDA The Cranes imefanikiwa
kusonga hatua inayofuata katika michuano ya kuwania kupangwa hatua ya
makundi kusaka tiketi ya kucheza fainali za kombe la mataifa...
Friday, 30 May 2014
MATOKEO RASMI YA MALAWI PETER MUTHARIKA ASHINDA UCHAGUZI
Peter Muthirika anayeongoza chama cha DPP ndiye rais mteule nchini Malawi
.............................................................................
Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya mivutano ya kisheria...
KILI MUSIC TOUR YAPAMBA MOTO MKOANI MWANZA
wasanii wawasili kwenye Kili Music Tour
Baadhi
ya wasanii watakaotoa burudani katika tamasha la Kili Music Tour
litakalofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba JIjini Mwanza Jumamosi.
Show hii inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ni ya pili
kati...
ANGALIA AJALI YA DIRECTOR GEORGE TYSON
Gari alilopata nalo ajali Director George Tyson na picha za saa 4 kabla ya tukio
Dj Choka ambae kwa sehemu kubwa alikua kwenye safari moja ya Dodoma na Marehemu George Tyson, ameandika kwenye http://djchokamusic.com/
kwamba Marehemu alikuwa yupo...
KURASA ZA MAGAZETI MAY 31 2014 MBEYAGREENNEWSBLOG
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
...
PETER MUTHARIKA WA DPP ASHINDA UCHAGUZI NCHNI MALAWI
DPP
CANDIDATE PETER MUTHARIKA HAS WON ELECTION TONIGHT WITH MORE THAN 1.9
MILLION VOTES AGAINST THE INCUMBENT PRESIDENT JOYCE BANDA WHO SCORED
ONLY 1 MILILION VOTES. (FRIDAY SIMBAYA) (SOURCE: AL JAZEERA NEWS...
FIFA YAWATAKA HISPANIA KUBADILISHA JEZI ZAO

KWA SABABU WALIZOTOA SASA ZINAFANANA NA ZA UHOLANZI
HISPANI wametakiwa kubadilisha jezi zao Kombe la Dunia baada ya FIFA kuamua jezi zao za sasa zinafanana na za Uholanzi.
Wasambazaji
wa nguo za Hispania, Adidas wamesema jana kwamba FIFA wameagiza...
ZITTO KABWE AFUNGUKA ATOA UFAFANUZI MZURI KUHUSU TANAPA NA NSSF
Nasikitika kwamba katika hali niliyonayo ya kumwuguza mama yangu naingizwa kwenye siasa za majitaka.
Kampuni ya LekaDutigite inamilikiwa na wasanii. Gombe Advisors ni
kampuni isiyofanya faida (Company limited by guarantee) na haina maslahi
yeyote ya kibiashara.
Wasanii...