MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Saturday, 31 May 2014

KULALA CHUMBA CHENYE MWANGA MKALI HUSABABISHA UNENE

Kama ulikuwa hujui ngoja nikufahamishe, Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa huko nchini Uingereza umebaini kuwa kulala chumba chenye mwanga uliopitiliza kumehusishwa na mtu kuongeza unene wa kupindukia. Timu ya watafiti kutoka Taasisi ya saratani ya jijini London imebaini ...

AFARIKI HOSPITALI BAADA YA KUCHELEWESHWA TOPEWA HUDUMA YA AFYA

Unaweza kudhani matukio haya hutokea katika hospitali za kawaida tu. Hii ni ya kusikitisha zaidi na imetokea katika hospitali kubwa nchini Uingereza.  Picha hii ya mwisho inamuonyesha mwanamke mmoja aliyekuwa amezidiwa hospitali na akashindwa kupatiwa dawa hadi kuamua...

RAIS MPYA WA MALAWI AAPISHWA RASMI LEO

  Peter Muthirika anayeongoza chama cha DPP ndiye rais mteule nchini Malawi Rais mpya wa Malawi Peter Mutharika ameapishwa...

ASILIMIA 25 YA WALIMU HUFUNDISHA' MAKOROKOCHO'

  Dar es...

MYIKA AISHUKIA SERIKALI UTOROSHAJI FEDHA NJE YA NCHI

  Msemaji wa kambi hiyo, John Mnyika ambaye amesema katika kipindi cha miaka 39 kuanzia 1970 hadi 2008, Sh9.6 trilioni zilitoroshwa kiharamu kwenda nje. Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji...

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI

  TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI “PRESS RELEASE” TAREHE 31.05.2014. MWANAMKE MMOJA AUAWA KWA KUKATWA NA KITU CHENYE NCHA KALI SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI NA MUME WAKE. MTU MMOJA AUAWA NA KUNDI LA WANANCHI WALIOAMUA KUJICHUKULIA SHERIA...

SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA

  Katibu Mkuu wa CCM Taifa Abdulrahamani Kinana akiongozwa na Mkuu wa Moa wa Singida Dk, Parseko Kone, Katibu Tawala Lianna Hassan na viongozi wengine wa Mkoa wa Singida kukagua hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya...

MSHAMBULIAJI RICKIE LAMBERT AWASILI LIVERPOOL KUPIMA AFYA

Yuko njiani: Rickie Lambert (kushoto akiwa na  Adam Lallana) amewasili Liverpool kwa ajili ya vipimo vya afya. Rickie Lambert amewasili Liverpool kwa ajili ya kupima afya tayari kwa kukamilisha dili la uhamisho wa paundi milioni 4 na kurejea  Merseyside. ...

MZAZI WA SERGIO KUN AGUERO ASEMA MWANAE ANAPENDA KWENDA BARCELONA

Baba mzazi wa Sergio Aguero amesema mshambuliaji huyo anapenda kwenda Barcelona. Yuko makini: Kocha mpya wa Barcelona, Luis Enrique anavutiwa na uwezo mkubwa wa Aguer. Imechapishwa Mei 31, 2014, saa 10: 47 jioni BABA mzazi wa Sergio Aguero ameweka...

MBEYA CITY FC YACHAPWA 1-0 NA VICTORIA UNIVERSITY ROBO FAINALI

  Na Baraka Mpenja, Dar es salaam Imechapishwa Mei 31, 2014, saa 1:52 usiku WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya CECAFA Nile Basin Cup, Mbeya City fc wameaga mashindano hayo baada ya kufungwa bao 1-0 dhidi ya Victoria University ya Uganda katika mchezo...

UGANDA YATINGA HATUA INAYOFUATA , RWANDA YAIKANYAGA LIBYA 3-0

    UGANDA The Cranes imefanikiwa kusonga hatua inayofuata katika michuano ya kuwania kupangwa hatua ya makundi kusaka tiketi ya kucheza fainali za kombe la mataifa...

Friday, 30 May 2014

MATOKEO RASMI YA MALAWI PETER MUTHARIKA ASHINDA UCHAGUZI

  Peter Muthirika anayeongoza chama cha DPP ndiye rais mteule nchini Malawi ............................................................................. Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya mivutano ya kisheria...

KILI MUSIC TOUR YAPAMBA MOTO MKOANI MWANZA

 wasanii wawasili kwenye Kili Music Tour Baadhi ya wasanii watakaotoa burudani katika tamasha la Kili Music Tour litakalofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba JIjini Mwanza Jumamosi. Show hii inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ni ya pili kati...

ANGALIA AJALI YA DIRECTOR GEORGE TYSON

Gari alilopata nalo ajali Director George Tyson na picha za saa 4 kabla ya tukio     Dj Choka ambae kwa sehemu kubwa alikua kwenye safari moja ya Dodoma na Marehemu George Tyson, ameandika kwenye http://djchokamusic.com/ kwamba Marehemu alikuwa yupo...

KURASA ZA MAGAZETI MAY 31 2014 MBEYAGREENNEWSBLOG

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

PETER MUTHARIKA WA DPP ASHINDA UCHAGUZI NCHNI MALAWI

  DPP CANDIDATE PETER MUTHARIKA HAS WON  ELECTION  TONIGHT WITH MORE THAN 1.9 MILLION VOTES AGAINST THE INCUMBENT PRESIDENT JOYCE BANDA WHO SCORED ONLY 1 MILILION VOTES. (FRIDAY SIMBAYA) (SOURCE: AL JAZEERA NEWS...

FIFA YAWATAKA HISPANIA KUBADILISHA JEZI ZAO

  KWA SABABU WALIZOTOA SASA ZINAFANANA NA ZA UHOLANZI   HISPANI wametakiwa kubadilisha jezi zao Kombe la Dunia baada ya FIFA kuamua jezi zao za sasa zinafanana na za Uholanzi. Wasambazaji wa nguo za Hispania, Adidas wamesema jana kwamba FIFA wameagiza...

ZITTO KABWE AFUNGUKA ATOA UFAFANUZI MZURI KUHUSU TANAPA NA NSSF

Nasikitika kwamba katika hali niliyonayo ya kumwuguza mama yangu naingizwa kwenye siasa za majitaka. Kampuni ya LekaDutigite inamilikiwa na wasanii. Gombe Advisors ni kampuni isiyofanya faida (Company limited by guarantee) na haina maslahi yeyote ya kibiashara. Wasanii...