...
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE
Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu
Friday, 28 June 2013
LORI LA MAFUTA LA ANGUKA KIBAHA WATU NA MADUMU YAO MKONONI
Lori
moja la kubebea bidhaa ya mafuta ya vyombo vya moto likiwa limeanguka
eneo la Kongowe, Kibaha kama lilivyokutwa na mpiga picha jioni ya leo.
Wananchi wanaonekana na vyombo vya kubebea, wamelizungukaa kana kwamba
hawajali hatari inayoweza kutokea kama zilivyotokea...
Thursday, 27 June 2013
UEFA EURO 2016 KUFANYIKA NCHINI UFARANSA

UEFA EURO 2016 ITAFANYIA NCHINI UFARANSA,
AMBAPO LOGO KWA AJILI YA MICHUANO HIYO IMESHATOLEWA.
...
MWANANCHI TATHIMINI MIAKA MIWILI YA BUNGE:JE? WABUNGE WETU WAMEWAJIBIKA IPASAVYO
Swali
muhimu kwa mwananchi yeyote, Je, Mbunge wangu aliwakilishaje maslahi
yangu Bungeni? Njia moja ya kutathmini utendaji wa Wabunge ni kutazama
idadi ya ushiriki wao Bungeni. Muhtasari unaoitwa Je, waliwajibika? Tathmini...
KONGAMANO LA WAZI NA UZINDUZI WA MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
KONGAMANO LA WAZI NA UZINDUZI WA MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Waziri
wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (Mbunge),
anawaalika wadau wote wa Sekta ya Nishati na Madini kote nchini kwenye
kongamano la wazi litakalofanyika siku ya Jumatano Julai 3, 2013 kwenye
Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge...
Tuesday, 25 June 2013
JAJI BOMANI AVIONYA VYOMBO VYA USALAMA KUA VIFUATE MISINGI YA SHERIA
Mwanasheria
Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani, amevitaka vyombo vya ulinzi na
usalama vya nchi hiyo kufuata misingi ya sheria katika utendaji wao wa kazi.
Jaji Bomani amevitaka pia
vyombo vya usalama vya Tanzania kuzingatia sheria katika matumizi ya silaha
kwenye...
ANCELOTTI ATUA HISPANIA AWA MENAGER MPYA WA REAL MADRID
VIGOGO wa Hispania,
Real Madrid wametangaza katika tovuti yao kuingia Mkataba wa miaka mitatu na
kocha Mtaliano, Carlo Ancelotti ambaye atatambulishwa kwa Waandishi wa Habari
Jumatano.
Real madrid imethibitisha carlo Ancelotti ataondoka paris-saint-German kuja...
WAFUNGWA 4 WANYONGWA NCHINI NIGERIA
Wafungwa wanne wamenyongwa
kusini mwa Nigeria, katika kile maafisa wanasema kuwa hukumu ya kwanza
ya kunyongwa kutekelezwa kwa miaka saba.
Kamishna...
MZEE MANDELA HALI BADO NITETE YUPO MAHUTUTI
Hali ya Mandela inasemekana kuwa mbaya
Familia ya rais mstaafu Nelson
Mandela, imemtembelea hospitalini, mzee Mandela ambaye anasifika kwa
vita alivyopigana dhidi ya utawala...
TAARIFA KWA UMMA : KUHAMISHWA KWA OFFISI YA MAKAO MAKUU YA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YAJUU
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawajulisha wadau wake wote
kuwa Ofisi yake ya Makao Makuu inahama kutoka Jengo la TIRDO, Barabara
ya Kimweri, Msasani kwenda Kiwanja Na.. 8, Kitalu Na. 46, Barabara ya
Sam Nujoma, Mwenge, Dar es Salaam kufikia Juni 30, 2013.Katika kipindi cha kuhama, Bodi itahakikisha huduma zinarejea katika hali ya...
ASKARI ALINICHANIA NGUO NIKABAKI UCHI MBELE YA BABA YANGU (ARUSHA)
Nukuu
za alichokisema Wema Malisa baada ya kufukuwa na Polisi Juni 18, 2013
katika Uwanja wa Soweto, Arusha ambapo watu kadhaa walikukusanyika ili
kuwaaga watu wanne waliokufa kwenye mlipuko wa bomu katika mkutano wa
CHADEMA, Jumamosi ya Juni 15, 2013 katika uwanja uo...
WATU ZAIDI YA 10 WANUSURIKA KUFA KATIKA AJALI JANA JIONI ENEO LA UYOLE MBEYA

PICHA ZOTE NA MICHAEL - UYOLE
TAARIFA KAMILI INAKUJA endelea kutembelea mtandao huu wa
MBEYAGREENNEWS.BLOSPORT.COM
...
WAHADHIRI WA CHUO KIKUU CHA TEKU WA WEKA MGOMO WA KUTO TUNGA MITIHANI NA HALI SI SHWARI NDAN CHUO HICHO
Kaimu
Mwenyekiti wa TEKUASA Amani Simbeye akifungua mkutano kati ya waandishi
wa Habari na Waahadhiri wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU)
Waahadhiri wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU) wakifuatilia kwa umakini kikao ...
Monday, 24 June 2013
MBUNGE WA CCM AHOFIA TANZANIA KUWA NA RAIS "SHOGA"
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy
(CCM), amesema kuwa bila Watanzania kuwa makini na sheria mpya ya ndoa ijayo,
huenda nchi ikapata rais, wabunge na madiwani wanaojihusisha na mapenzi ya
jinsia moja (mashoga).
Keissy
alitoa kauli hiyo wakati akichangia mada katika...
KAULI YA MP JOSEPH MBILINYI(SUGU) KUHUSU W/MKUU
Kauli ya Jumamosi, Juni 22, 2013
Kauli ya Jumatatu, Juni 24, 2013:
Katuni ya Masoud “Kipanya” ...ghasia za kuleta amani!
...
HALI YA RAIS MANDELA BADO TETE
Hali
ya rais wa zamani wa Afrika kusini,Nelson
Mandela ,imeendelea kuwa mbaya katika hospitalini mjini
Pretoria ikiwa ni siku ya pili leo tangu Rais
Jacob Zuma alipomtembelea na kusema ...
CHADEMA YASEMA POLISI WANAKAMATA WAFUASI WAKE KWA KUSHINIKIZWA
Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelishutumu kwa Jeshi la
Polisi kwamba wafuasi wa chama hicho wanaokamatwa kwa makosa mbalimbali,
wamekuwa wakishinikizwa watamke kuwa wametumwa na viongozi wao
waandamizi kufanya vitendo hivyo.Mkurugenzi wa Habari na
Uenezi wa CHADEMA, John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari...
ALITAKA KUJIUWA MARA MBILI KWA HALI ALIYO NAYO YA MARADHI
Ama kwa hakika, wangenga walisema, “Hujafa Hujaumbik
Sylvester Karanja aliezea
masaibu yake ya jinsi alivyozaliwa katika hali ya kawaida kama binadamu
wengine wasio na ulemavu wa aina yoyote ile, hadi alipopatwa na kipele
katika ujana wake, kipele ambacho...
Saturday, 22 June 2013
HAFLA FUPI A KUAGWA KWA SPIKA SITTA
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi zake pichani
kwa Spika mstaafu. Samuel Sitta katika hafla ya kumuaga Spika huyo
kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 21, 2013. Kushoto kwake ni
mkewe Tunu na wengine kutoka kulia...
POLISI 7 WA HUKUMIWA MIAKA 5 JELA KWA MAUJI (KIGOMA)
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora imewahukumu kifungo cha miaka
mitano jela askari saba wa Jeshi la Polisi mkoani Kigoma ambao walikuwa
wakishtakiwa kwa mauaji.
Akitoa hukumu yake katika
kikao cha Mahakama Kuu kilichokuwa kikifanyika mkoani Kigoma Jaji wa
mahakama hiyo, Sam Mpaya Rumanyika alisema kuwa baada ya kupitia
ushahidi mbalimbali...
Friday, 21 June 2013
TAARIFA KUHUSU NASARI, LEMA ,MBOWE NA MAJERUHI WA BOMU
Jeneza
lenye mwili wa Mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni, Judith William
Moshi, aliyefariki kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya Soweto jijini
Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe 15.06.2013.
Mtoto
Fahad Jamal (7) ambaye hali yake...
Thursday, 20 June 2013
RAIS MSTAAFU GEOGE W.BUSH KUHUTUBIA WAKE WA MARAIS WA AFRIKA DAR
RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura, wanatarajiwa
kuwasili nchini mwezi ujao ambapo watahutubia kongamano litakalojadili
wajibu wa wake za marais katika kuinua wanawake duniani.Taasisi ya George Bush ndiyo imeandaa kongamano hilo litakalofanyika Dar es Salaam kuanzia Julai 2 hadi 3.Taarifa
iliyotolewa jana na taasisi hiyo kwa...
ASKARI WA AUWA MTU MMOJA KUFUATIA VURUGU YA WANANCHI WA KIJIJI CHA LUMBILA WILAYA YA MBOZI (MBEYA)
MMOJA AUWAWA KUFUATIA VURUGU YA WANANCHI WA KIJIJI CHA LUMBILA WILAYA
YA MBOZI KUWASHAMBULIA ASKARI WALIOKUWA WANAFANYA OPERESHENI.
MKUU WA WILAYA YA MBOZI MKOANI MBEYA DR. MICHAEL
KADEGE AAKIWATULIZA HASIRA WANAKIJIJI HICHO KABLA YA KUANZA KUWASIKILIZA
...
WATU 48 WAUAWA ZAMFARN NIGERIA
Watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki wamewaua watu 48 katika shambulizi dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Zamfara.
Watu hao waliwasili kabla ya macheo wakiendesha pikipiki.
Baadaye walikwea mlima uliokuwa karibu...