MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Friday, 28 June 2013

LORI LA MAFUTA LA ANGUKA KIBAHA WATU NA MADUMU YAO MKONONI

Lori moja la kubebea bidhaa ya mafuta ya vyombo vya moto likiwa limeanguka eneo la Kongowe, Kibaha kama lilivyokutwa na mpiga picha jioni ya leo. Wananchi wanaonekana na vyombo vya kubebea, wamelizungukaa kana kwamba hawajali hatari inayoweza kutokea kama zilivyotokea...

CHEKA NA UTANI WA MBEYAGREENNEWS.BLOGSPORT.COM

    ...

Thursday, 27 June 2013

UEFA EURO 2016 KUFANYIKA NCHINI UFARANSA

UEFA EURO 2016 ITAFANYIA NCHINI UFARANSA, AMBAPO LOGO KWA AJILI YA MICHUANO HIYO IMESHATOLEWA.   ...

MWANANCHI TATHIMINI MIAKA MIWILI YA BUNGE:JE? WABUNGE WETU WAMEWAJIBIKA IPASAVYO

Swali muhimu kwa mwananchi yeyote, Je, Mbunge wangu aliwakilishaje maslahi yangu Bungeni? Njia moja ya kutathmini utendaji wa Wabunge ni kutazama idadi ya ushiriki wao Bungeni.       Muhtasari unaoitwa Je, waliwajibika? Tathmini...

KONGAMANO LA WAZI NA UZINDUZI WA MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

KONGAMANO LA WAZI NA UZINDUZI WA MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (Mbunge), anawaalika wadau wote wa Sekta ya Nishati na Madini kote nchini kwenye kongamano la wazi litakalofanyika siku ya Jumatano Julai 3, 2013 kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge...

Tuesday, 25 June 2013

JAJI BOMANI AVIONYA VYOMBO VYA USALAMA KUA VIFUATE MISINGI YA SHERIA

Mwanasheria Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo kufuata misingi ya sheria katika utendaji wao wa kazi.  Jaji Bomani amevitaka pia vyombo vya usalama vya Tanzania kuzingatia sheria katika matumizi ya silaha kwenye...

ANCELOTTI ATUA HISPANIA AWA MENAGER MPYA WA REAL MADRID

VIGOGO wa Hispania, Real Madrid wametangaza katika tovuti yao kuingia Mkataba wa miaka mitatu na kocha Mtaliano, Carlo Ancelotti ambaye atatambulishwa kwa Waandishi wa Habari Jumatano. Real madrid imethibitisha carlo Ancelotti ataondoka paris-saint-German kuja...

WAFUNGWA 4 WANYONGWA NCHINI NIGERIA

      Wafungwa wanne wamenyongwa kusini mwa Nigeria, katika kile maafisa wanasema kuwa hukumu ya kwanza ya kunyongwa kutekelezwa kwa miaka saba. Kamishna...

MZEE MANDELA HALI BADO NITETE YUPO MAHUTUTI

  Hali ya Mandela inasemekana kuwa mbaya Familia ya rais mstaafu Nelson Mandela, imemtembelea hospitalini, mzee Mandela ambaye anasifika kwa vita alivyopigana dhidi ya utawala...

TAARIFA KWA UMMA : KUHAMISHWA KWA OFFISI YA MAKAO MAKUU YA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YAJUU

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawajulisha wadau wake wote kuwa Ofisi yake ya Makao Makuu inahama kutoka Jengo la TIRDO, Barabara ya Kimweri, Msasani kwenda Kiwanja Na.. 8, Kitalu Na. 46, Barabara ya Sam Nujoma, Mwenge, Dar es Salaam kufikia Juni 30, 2013.Katika kipindi cha kuhama, Bodi itahakikisha huduma zinarejea katika hali ya...

ASKARI ALINICHANIA NGUO NIKABAKI UCHI MBELE YA BABA YANGU (ARUSHA)

Nukuu za alichokisema Wema Malisa baada ya kufukuwa na Polisi Juni 18, 2013 katika Uwanja wa Soweto, Arusha ambapo watu kadhaa walikukusanyika ili kuwaaga watu wanne waliokufa kwenye mlipuko wa bomu katika mkutano wa CHADEMA, Jumamosi ya Juni 15, 2013 katika uwanja uo...

WATU ZAIDI YA 10 WANUSURIKA KUFA KATIKA AJALI JANA JIONI ENEO LA UYOLE MBEYA

PICHA ZOTE NA MICHAEL - UYOLE TAARIFA KAMILI INAKUJA  endelea  kutembelea mtandao huu wa MBEYAGREENNEWS.BLOSPORT.COM  ...

WAHADHIRI WA CHUO KIKUU CHA TEKU WA WEKA MGOMO WA KUTO TUNGA MITIHANI NA HALI SI SHWARI NDAN CHUO HICHO

     Kaimu Mwenyekiti wa TEKUASA Amani Simbeye akifungua mkutano kati ya waandishi wa Habari na Waahadhiri wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU) Waahadhiri wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji(TEKU)  wakifuatilia kwa umakini kikao ...

Monday, 24 June 2013

MBUNGE WA CCM AHOFIA TANZANIA KUWA NA RAIS "SHOGA"

MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), amesema kuwa bila Watanzania kuwa makini na sheria mpya ya ndoa ijayo, huenda nchi ikapata rais, wabunge na madiwani wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga). Keissy alitoa kauli hiyo wakati akichangia mada katika...

KAULI YA MP JOSEPH MBILINYI(SUGU) KUHUSU W/MKUU

Kauli ya Jumamosi, Juni 22, 2013 Kauli ya Jumatatu, Juni 24, 2013: Katuni ya Masoud “Kipanya” ...ghasia za kuleta amani! ...

HALI YA RAIS MANDELA BADO TETE

  Hali  ya rais  wa  zamani  wa  Afrika  kusini,Nelson Mandela ,imeendelea kuwa mbaya katika  hospitalini mjini  Pretoria  ikiwa  ni  siku  ya  pili leo tangu  Rais Jacob Zuma alipomtembelea na kusema ...

CHADEMA YASEMA POLISI WANAKAMATA WAFUASI WAKE KWA KUSHINIKIZWA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelishutumu kwa Jeshi la Polisi kwamba wafuasi wa chama hicho wanaokamatwa kwa makosa mbalimbali, wamekuwa wakishinikizwa watamke kuwa wametumwa na viongozi wao  waandamizi kufanya vitendo hivyo.Mkurugenzi wa  Habari na Uenezi wa CHADEMA, John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari...

ALITAKA KUJIUWA MARA MBILI KWA HALI ALIYO NAYO YA MARADHI

   Ama kwa hakika, wangenga walisema, “Hujafa Hujaumbik  Sylvester Karanja aliezea masaibu yake ya jinsi alivyozaliwa katika hali ya kawaida kama binadamu wengine wasio na ulemavu wa aina yoyote ile, hadi alipopatwa na kipele katika ujana wake, kipele ambacho...

Saturday, 22 June 2013

HAFLA FUPI A KUAGWA KWA SPIKA SITTA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi zake pichani kwa Spika mstaafu. Samuel Sitta katika hafla ya kumuaga Spika huyo kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 21, 2013. Kushoto kwake ni mkewe Tunu na wengine kutoka kulia...

POLISI 7 WA HUKUMIWA MIAKA 5 JELA KWA MAUJI (KIGOMA)

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela askari saba wa Jeshi la Polisi mkoani Kigoma ambao walikuwa wakishtakiwa kwa mauaji. Akitoa hukumu yake katika kikao cha Mahakama Kuu kilichokuwa kikifanyika mkoani Kigoma Jaji wa mahakama hiyo, Sam Mpaya Rumanyika alisema kuwa baada ya kupitia ushahidi mbalimbali...

Friday, 21 June 2013

TAARIFA KUHUSU NASARI, LEMA ,MBOWE NA MAJERUHI WA BOMU

Jeneza lenye mwili wa Mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni, Judith William Moshi, aliyefariki kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya Soweto jijini Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe 15.06.2013.   Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake...

Thursday, 20 June 2013

RAIS MSTAAFU GEOGE W.BUSH KUHUTUBIA WAKE WA MARAIS WA AFRIKA DAR

RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura, wanatarajiwa kuwasili nchini mwezi ujao ambapo watahutubia kongamano litakalojadili wajibu wa wake za marais katika kuinua wanawake duniani.Taasisi ya George Bush ndiyo imeandaa kongamano hilo litakalofanyika Dar es Salaam kuanzia Julai 2 hadi 3.Taarifa iliyotolewa jana na taasisi hiyo kwa...

ASKARI WA AUWA MTU MMOJA KUFUATIA VURUGU YA WANANCHI WA KIJIJI CHA LUMBILA WILAYA YA MBOZI (MBEYA)

MMOJA AUWAWA KUFUATIA VURUGU YA WANANCHI WA KIJIJI CHA LUMBILA WILAYA YA MBOZI KUWASHAMBULIA ASKARI WALIOKUWA WANAFANYA OPERESHENI. MKUU WA WILAYA YA MBOZI MKOANI MBEYA DR. MICHAEL KADEGE AAKIWATULIZA HASIRA WANAKIJIJI HICHO KABLA YA KUANZA KUWASIKILIZA  ...

WATU 48 WAUAWA ZAMFARN NIGERIA

  Watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki wamewaua watu 48 katika shambulizi dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Zamfara. Watu hao waliwasili kabla ya macheo wakiendesha pikipiki. Baadaye walikwea mlima uliokuwa karibu...