Thursday, 15 October 2015

BOBAN ATUA MBEYA CITY, AANZA KATIKA KIKOSI CHA KWANZA MBEYA CITY DHIDI YA SIMBA JUMAMOSI

Kiungo nyota wa Simba, Haruna Moshi Boban amejiunga na Mbeya City.

Boban ameanza kazi na Mbeya City na atakuwa kati ya wachezaji watakaocheza dhidi ya Simba, Jumamosi.

Leo Boban amefanya mazoezi siku ya pili mfululizo kwa ajili ya mechi hiyo.

 Taarifa za uhakika zimeeleza Boban alikuwa amejiunga na Mbeya City mwanzoni mwa msimu huu.
 Lakini kulikuwa na mambo kadhaa aliyotakiwa kumalizana na uongozi wa timu kabla ya kujiunga nayo.

Taarifa nyingine zimeeleza Boban alisafiri kwenda kufanya majaribio nje ya nchi.

Related Posts:

0 comments: