MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Saturday, 31 August 2013

ANGALIA BAYERN ILIVYO BEBA SUPER CUP, NA LUKAKU KUKOSA PENERT

  Bayern Munich imebeba ubingwa wa Super Cup baada ya kuifunga Chelsea kwa mikwaju 5-4 ya penalty. Katika muda wa kawaida timu hizo zilitoka sare ya mabao 2-2 baada ya Chelsea kuanza kufunga katika dakika ya nane tu kupitia Fernando Torres. Mechi hiyo...

HIVYO NDIVYO CHEKA ALIVYO AMCHAPA MMAREKANI NA KUTWAA UBINGWA WA DUNIA (ANGALIA HAPA PICHA)

  CHEKA Vs WILLIAM... NYOMI LA DIAMOND, LAKINI KUNA TAARIFA PROMOTA AMEAMBULIA PATUPU KUTOKANA NA KUGUNDULIKA KULIKUWA NA TIKETI FEKI KIBAO. MMAREKANI ALIKAA KATIKA RAUNDI YA TATU...AKAINUKA NA KUENDELEA Francis Cheka ameweka rekodi ya kuwa bondia wa...

TAZARA YAHAIRISHA KUFUKUZA WAFANYAKAZI YASEMA WAREJEE KAZINI ITAWARIPA MISHAHARA YAO

MAMLAKA ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) imesitisha kusudio lililotangazwa awali, la kufukuza wafanyakazi wake wapatao 1,067 na kuagiza warudi kazini kuanzia leo.Kaimu Mkurugenzi wa TAZARA, Ronald Phiri, alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari. Aliongeza kuwa mbali na kurudishwa kazini, mishahara yao itaanza kulipwa leo.“Kwa ...

WATANZANIA 18 WATHAMINIWA NA BRAZIL,CHINA KUSOMEA MAFUTA NA GESI

Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi (watatu kushoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya vijana waliopata ufadhili wa masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya mafuta na gesi kutoka Serikali ya watu wa China. Pia, wanafunzi wengine 10 wamepata...

Friday, 30 August 2013

ANGARIA PICHA MBALI MBALI ZIKIMUONESHA DIAMOND AKIMZAWADIA MZEE GURUMO GARI

AKIMKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA FUNGARCO MZEE GURUMO NDANI YA MKOKO WAKE AKIZUNGUMZA KABLA YA KUMKABIDHI GARI MZEE GURUMO GARI AINA YA FUNCARCO AMBAYO DIAMOND AMEMKABIDHI MZEE GURUMO Mwanamuziki wa kizazi kipya anae kick kila kona Diamond Platnumz jana...

ETO'O AKUBALI PAUNI MILIONI 10 NA KUJIUNGA DARAJANI KWA MORINHO

: Eto'o akiwa na jezi ya Chelsea SAMWEL ETO'O AKISAINI MKATABA MBELE YA KATIBU WA TIMU YA CHELSEA DAVID BARNARD ETO'O AKIONYESHA JEZI YA DARAJANI                                                 ...

BAN KI MOON ALAANI KUUAWAWA KWA MLINZI WA AMANI WA TANZANIA DRC

Walinzi wa Amani wakiwa katika moja ya doria kwenye mitaa ya mji wa Goma Imeandikwa na Mwandishi MaalumKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,  Ban Ki Moon  amelaani kuuawa kwa Mlinzi wa Amani kutoka Tanzania  ambapo wengine  kadhaa  wamejeruhiwa...

TANGAZO KWA MADAKTARI NA WAUGUZI WALIO OMBA KAZI MUHIMBILI MAJINA YA HAYA HAPA

     Tangazo lililotolewa jana Agosti 29, 2012 na Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, limeorodhesha majina ya walioomba nafasi mbalimbali za kazi katika kada na madaraja mbalimbali.Majina hayo na maelezo muhimu kwa watahiniwa...

KIUNGO OLJORO AJISAIDIA UWANJANI SHEIKH AMRI ABEID

 Na Khatimu Naheka, Arusha Katika hali ya kushangaza, kiungo wa JKT Oljoro, Udda Sorita alijisaidia haja ndogo uwanjani huku sababu kubwa ikatajwa kuwa uchafu wa vyoo vya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Tukio hilo lilitokea kipindi cha pili cha...

DAKTARI AMZUIA RASHID MATUMLA KUENDELEA KUCHEZA NGUMI

Bondia mkongwe nchini, Rashid Matumla ‘Snake Man’ ametakiwa kuachana na ngumi mara moja na ikiwezekana astaafu kabisa. Maagizo hayo yametoka kwa mmoja wa madktari wanaoshughulikia masuala ya michezo nchini. Akithibitisha suala hilo, Matumla ,44, amesema daktari...

MADAKITARI WA MUHIMBILI WAFANIKIWA KUWATENGANISHA MAPACHA WALIOUNGANA

Daktari Bingwa wa Watoto katika Hospitali ya Muhimbili, Profesa Karim Manji (wa pili kushoto) akifurahia na wenzake baada ya kufanikiwa kwa operesheni ya kuwatenganisha watoto walioungana, kazi iliyofanywa na jopo la madaktari bingwa saba kwa saa 4. (Picha na Michael...

KAMANDA KOVA AWAHADHARISHA WANAOBEBA MABURUNGUTU YA FEDHA

  Dar es Salaam, 29 Agosti, 2013 — Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Suleiman Kova, amewataka wananchi wenye mazoea ya kubeba fedha nyingi kutoka sehemu moja kwenda nyingine kuacha tabia hiyo kutokana na sababu za kiusalama.Kamishina...

DK WEGGORO ATEULIWA KUWA MSAIDIZI WA RAIS MASWALA YA USHIRIKIANO WA KIKANDA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Nyamajeje Calleb Weggoro  kuwa Msaidizi wa Rais, Masuala ya Ushirikiano wa Kikanda.Taarifa iliyotolewa leo, Alhamisi, 29 Agosti, 2013 mjini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa uteuzi...

Thursday, 29 August 2013

BREAKING NEWSSS!!!!!!!!!!! MAJAMBAZI WAVAMIA BANK IMETOKEA DAR( KARIAKOO)

RAMANI IKIONYESHA MAHALI ILIYOPO HABIB BANK KARIAKOO WATU WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI BAADHI YAO WAKIWA WAMEVALIA SARE ZA JESHI LA POLISI WAMEVAMIA HABIB AFRICAN BANK ILIYOPO KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM NA KISHA KUPORA NA KUTOWEKA NA MAMILIONI YA FEDHA ASUBUHI...

AKAMATWA KWA KUFANYA KAZI KAMA KANALI WA JWTZ (MWENGE JIJINI DSM)

Mtuhumiwa IBRAHIM Moses   Habari na Issa Mnally via GPL, Dar es Salaam — IBRAHIM Moses, mkazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam amenaswa na Polisi wa Kituo cha Mwenge kwa madai ya kujifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) mwenye cheo cha...

NEYMAR ABEBA KOMBE LA KWANZA NA BARCA, MESSI AKOSA PENALTI

Barcelona imefanikiwa kubeba kombe la kwanza msimu huu ikiwa chini ya Kocha Tata Martino.Mshambuliaji wake mpya, Neymar kutoka Brazil naye amepata baraka ya kombe hilo la kwanza. Lakini nyota wake, Lionel Messi amejikuta katika ‘bahati mbaya’ baada...

ETO'O ATUA RASMI LEO LONDON KWA JILI YA KUJIUNGA NA CHELSEA

Mshambuliaji nyota wa Cameroon, Samuel Eto’o Fills ametua jijini London tayari kujiunga nayo kwa mkataba wa mwaka mmoja.Chelsea na Eto’o wamekubaliana mkataba wa mwaka mmoja ambao utagharimu pauni milioni 7.   Kikosi hicho chini ya Jose Mourinho kimeamua...

ANGARIA JINSI WAPENZI MPIRA WALIVYO ISHANGIRIA MBEYA CITY BAADA YA KUITANDIKA RUVU SHOOTING BAO 2--1

Mgeni rasmi meya wa jiji laMbeya Athanas Kapunga  akisalimiana na wachezaji wa Mbeya city kabla ya mechi kuanza Kocha wa timu ya Ruvu shooting Charles Boniface Mkwasa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya mpira kwisha Kocha wa timu ya...