Idara ya afya ya manispaa ya Singida yaifungia zahanati ya EAG Utemini iliyoko Singida mjini kutoa baadhi ya huduma za maabara baada ya kubaini uwepo wa udanganyifu wa majibu ya vipimo yatolewayo na zahanati hiyo kwa watenja wake pamoja na kutokuwa na wataalam wa kuta huduma hizo