MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

MATUKIO KATIKA PICHA YALIYO WEZA KUVUTIA DUNIANI KOTE

Asante kwa kututembelea mbeyagreennews kwa taarifa zaidi endelelea kututembela kila siku ,saa,dakika usipitwe na matukio kem kemu

Saturday, 17 May 2014

SHEREHE ZA UBINGWA ATLETICO MADRID JANA...ILIKUWA HATARI TUPUUU


Mchora mipango: Kocha Diego Simeone akiwa ameinuliwa juu na wachezaji wake kushangilia ubingwa wa Ligi Kuu ya Hispania, La Liga ambao ni wa kwanza kwao baada ya miaka 18, kufuatia safe ya 1-1 na Barcelona jana Uwanja wa Camp Nou
Spraying: Players celebrate with the traditional spraying of champagne
Wachezaji wakishangilia kwa kucheza, kuimba, kuruka na kumwagiana shampeni
No trophy: The players were not able to celebrate with the La Liga trophy because Spanish FA president Javier Tebas could not make it to the game
Pati bila Kombe: Wachezaji wakishangilia bila Kombe kwa sababu Rais wa FA ya Hispania, Javier Tebas hakutokea kwenye mchezo huo
Filling the streets: Atletico Madrid fans hit the Neptuno fountain to celebrate after their club won the La Liga title by drawing 1-1 with Barcelona in the Nou Camp
Mashabiki wa Atletico Madrid walifika eneo la Neptuno kushangilia ubingwa wao
Singing and dancing: Supporters celebrate their first title in 18 years
Kuimba na kucheza: Mashabiki wakishangilia taji la kwanza la La Liga baada ya miaka 18

ANGALIA ARSENAL JANA,WALIVYO BEBA UBINGWA WA F A CUP


Miaka tisa, Kombe moja: Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger alilazimika kubadilisha shati lake baada ya alilokuwa amevaa kuloana bia alizomwagiwa na wachezaji wake wakati wa kushangilia ushindi wa 3-2 uliowapa Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, taji la kwanza kwa klabu hiyo na mocha huyo kwa ujumla baada ya miaka tisa.
Raising spirits: Wenger is thrown into the air by the Arsenal side after the FA Cup win
Juu juu: Wenger akiwa amebebwa juu juu na wachezaji wake jana
Soaking: Wenger was soaked by his Arsenal players after their FA Cup win over Hull
Anaogeshwa mbege: Wenger akimwagiwa bia na wachezaji wake
Shower time: Wenger, visibly soaked, celebrates victory with his players
Aogeshwe huyoo: Wenger akiwa amebebwa na kumwagiwa bia na wachezaji wake.
Happy pair: Serge Gnabry and Alex Oxlade-Chamberlain enjoy winning the FA Cup
Spanish duo: Cazorla and Nacho Monreal pose with the FA Cup
Serge Gnabry na Alex Oxlade-Chamberlain, kushoto na Santi Cazorla na Nacho Monreal wakiwa wamepozi na Kombe la FA chumba cha kubadilishia nguo Uwanja wa Wembley jana
We've done it: left to right, Santi Carzorla, Mesut Ozil, Per Mertesacker, Serge Gnabry, Lukas Podolski and Aaron Ramsey with the FA Cup in the dressing room at Wembley
Kutoka kushoto ni Santi Carzorla, Mesut Ozil, Per Mertesacker, Serge Gnabry, Lukas Podolski na Aaron Ramsey
Leading the celebration: Podolski celebrates with the Arsenal fans after the FA Cup final win
Podolski akishangilia mbele ya mashabiki
Hopeful: One Arsenal fan, sporting some interesting body art, looks on during the FA Cup final
Mmoja wa mashabiki wa Arsenal akiwa kifua wazi kushangilia ubingwa

MESSI AWA MCHEZAJI ANAELIPWA MKWANJA MREFU DUNIA SASA AMZIDI C. RONALDO

LIONEL Messi amekubali kusaini mkataba mpya katika klabu yake ya Barcelona na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani ambapo atakuwa anavuta mkwanja wa paundi milioni 16.3 kwa mwaka.

Baba yake, Jorge, amekutana na maofisa wa klabu Javier Faus na Antoni Rossich wiki iliyopita na kusaini mkataba wake wa 7 ndani ya klabu ya Barcelona.
Messi ambaye mwezi juni atafikisha miaka 27 baada ya kuongeza mkataba huo,  sasa atakaa Barcelona mpaka mwaka 2018.
He's staying: Lionel Messi has agreed to sign a new deal keeping him at Barcelona
 Ataendelea kuwepo: Lionel Messi amekubali kusaini mkataba mpya katika klabu ya Barcelona
Boost: Messi agreeing a new deal is the news the Barcelona fans had been waiting for

RONALDO FITI ASILIMIA 100 KWA FAINALI LIGI YA MABINGWA,

 
KOCHA wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amethibitisha kwamba Cristiano Ronaldo amepona tena baada ya kuumia maumivu ya nyama katika mchezo dhidi ya Valladolid.
Mreno huyo alilazimika kutoka nje Madrid ikilazimishwa safe ya 1-1 katika mechi ya La Liga na akakosa mchezoa ambao timu yake hiyo ilifungwa 2-0 na Celta Vigo mwishoni mwa wiki iliyopita.
Lakini akizungumza kuelekea mchezo wa leo na Espanyol, Ancelotti alisema kwamba nyota wake huyo atacheza katika sehemu fulani ya mchezo huo wa mwisho wa msimu wa nyumbani.

Maneno ya busara: Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (kulia) akimsikiliza mocha Carlo Ancelotti (wa taut kutoka kulia) katika mazoezi ya jana
Alipoulizwa kama Ronaldo amepona maumivu yake, mocha huyo wa zamani wa Chelsea alisema: "Cristiano yuko vizuri na atacheza kesho (leo),".
Habari zitakuwa ahueni kubwa kwa mashabiki wa Los Blancos, ambao tayari wanautazama mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumamosi ijayo dhidi ya wapinzani wao wa nyumbaniu, Atletico Madrid baada ya kutupwa nje ya mbio za ubingwa wa Hispania.
Xabi Alonso ataukosa mchezo wa Lisbon baada ya kupewa kadi ya nano katika Nusu Fainali Real wakiifunga Bayern Munich, lakini Ancelotti anafurahishwa na viungo wa kati waliopo.
Amesema: "(Asier) Illarramendi ni suluhisho la kwanza, kwa sababu tulimsajili kuchukua nafasi ya Xabi (Alonso) na anajua namna ya kucheza katika nafasi hii. Illarra ana ubora wa kutosha kucheza katika mechi zote, muhimu ni kwamba tunafurahi kuwa naye,".
Preparation: Real players have a Champions League final with rivals Atletico Madrid to look forward to
Maandalizi: Wachezaji wa Real wanakabiliwa na fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya mahasimu wao wa nyumbani, Atletico Madrid

Sami Khedira yuko pia kwenye nafasi ya kuziba pebgo la Alonso baada ya kupona maumivu yake ya muds mrefu ya goto na Ancelotti amesema kwamba Mjerumani huyo atacheza dhidi ya Espanyol.
"Khedira atapewa dakika kadhaa kesho (leo) kwa sababu anahitaji kucheza. Alkifanya vizuri dhidi ya Celta Vigo,"alisema. "Anaweza kuwa sukuhisho kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa,".

LUIZ SUAREZ ATHIBISHA KWA KUSEMA HAONDOKI LIVERPOOL

 
MSHAMBULIAJI Luis Suarez amesema anapenda maisha ndani ya Liverpool na hafikirii kuondoka Anfield.
Nyota huyo wa Uruguay amemaliza msimu vizuri akiwa na Wekundu hap kwa kufunga mabao 31 na kutwaa tuzo za Mwanasoka Bora wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA) na ya Waandishi wa Habari za Soka.
Mafanikio hayo yanakuja baada ya kupitia msimu mgumu uliopita akifungiwa kwa kumng'ata beki wa Chelsea, Branislav Ivanovic - akilazimisha kupita.
Siondoki: Mshambuliaji Luis Suarez amesema hana mpango wa kuondoka Liverpool licha ya kutakiwa na vigogo wa La Liga, Real Madrid na Barcelona

Sasa wakati tetesi za usajili zimeanza tena, Suarez, ambaye mapema wiki hii alikanusha kuwa na nia ya kuhamia klabu nyingine kubwa Ulaya, ameamua kuuheshimu mkataba aliosaini Desemba mwaka jana.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ambaye ameripotiwa kutakiwa na Real Madrid, ameiambia Sky Sports kwamba: "Nilisaini mkataba kwa sababu napapenda haps na nina furaha dana hapa. Ikiwa haunt furaha hapa huwezi kusaini mkataba wowote,".
"Liverpool kwangu ni moja ya timu bora duniani, kwa sababu hakuna mtu haps katika chumba cha kubadilishia nguo anafikiri mimi no bora zaidi ya wengine na watu hapa ndani ya Melwood wanafanya kazi vizuri,"alisema.

SAMATTA NA ULIMWENGU WAJIUNGA STARS TAYARI KUISULUBU ZIMBABWE KESHO TAIFA

ATLETICO MADRID AWA BINGWAWA LA LIGA 2013-2014 NCHINI HISPANIA

  ATLETICO Madrid ndio mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Hispania, ukipenda unaweza kuiita La Liga baada ya kulazimisha sare ya 1-1 usiku huu na Barcelona Uwanja wa Camp Nou. 
Hilo linakuwa taji la 10 la Atletico la La Liga, baada ya awali kutwaa katika misimu ya 1939–40, 1940–41, 1949–50, 1950–51, 1965–66, 1969–70, 1972–73, 1976–77 na 1995–96.
Aidha, hii inakuwa mara ya kwanza baada ya miaka tisa kwa timu nje ya Barcelona na Real Madrid kutwaa taji hilo, mara ya mwisho Valencia walikuwa mabingwa msimu wa 2003-2004. 
Shujaa wa ubingwa; Diego Godin akishangilia boa lake lililoipa ubingwa Atletico leo

Barcelona walitangulia kupata bao dakika ya 34, mfungaji Alexis Sanchez aliyemalizia pasi ya 
Lionel Messi.
Barcelona walipata bao hilo baada ya Atletico kupata pigo kwa wachezaji wake wawili tegemeo kuumia kwa mpigo ndani ya dakika 20 na kushindwa kuendelea na mchezo.
Alinza mfungaji wake tegemeo Diego Coasta dakika ya 16, ambaye nafasi yake ilichukuliwa na Adrian kabla ya Arda Turan naye kuuminia dakika ya 20 na nafasi yake kucukuliwa na Raul Garcia.
Pamoja na hayo, timu ya Diego Simeone ilitulia na kumaliza dakika 45 wakiwa nyuma kwa bao hilo hilo 1-0, japokuwa mchezo ulitawaliwa na rafu nyingi kipindi hicho.
Kipindi cha pili, Atletico ambao wiki ijayo watacheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya mahasimu wao wa Jiji, Real Madrid walibadilika na kufanikiwa kusawazisha bao hilo.  
Shukrani kwake Diego Roberto Godin Leal aliyefunga bao hilo muhimu dakika ya 49 akimalizia kwa kichwa kona ya Gabi. 
Atletico imemaliza na pointi 90 baada ya mechi 38 wakati Barcelona imebaki nafasi ya pili kwa pointi zake 87 na Real ya tatu kwa pointi zake 86.

ANGALI TP MAZEMBE ALIVYO YAPIGWA BAO MOJA NA EL HILAL YA SUDANI

12juillet2012-division1-j9-mazembe-vs-muungano-14_1342119829
Habari Na Baraka mpenja   
MIAMBA ya soka nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, TP Mazembe imepigwa kidude kimoja kwa yai dhidi ya El Hilal Omdurani ya Sudan katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Afrika.
El Hilal walianza kutibua mipango ya Mazembe katika dakika ya 51 baada ya Salah Al Jizoli kuandika bao la kuongoza kufuatia kumalizia pasi nzuri ya Bakri Babeker.
 
Kipigo hicho cha bao 1-0 kimewafanya Mazembe kuanza vibaya michuano hiyo na sasa watahitaji kufanya vizuri mchezoz unaofuata, huku wakiwa katika kundi A pamoja na wapinzani wao wakubwa AS Vita.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

HUU NDIO UKWELI KUHUSU ADAM KUAMBIANA KUFARIKI GHAFLA

MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya kuamkia leo. Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar. Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!

SOMA KUJUA NI KLABU YA ULAYA INAYOONGOZA KWA WACHEZAJI KATIKA KOMBE LA DUNIA BRAZIL 2014 CHELSEA? MAN UNITED? AU BAYERN MUNICH?

article-2630230-1DE82E2000000578-228_634x429 
Ardhi ya nyumbani: Beki wa Brazil ,  David Luiz ni miongoni mwa wachezaji  18 wa Chelsea wanaotarajia kushiriki kombe la dunia mwaka huu na nchi zao.
KLABU ya Chelsea ndio timu pekee ambayo wachezaji wake wengi wanaenda kushiriki fainal za kombe la dunia kuanzi mwezi ujao nchini Brazil.
 
Wachezaji 18 wa Chelsea wanatarajia kuzichezea nchi zao katika fainali hizo kubwa za soka duniani.
 
Ukiangalia vikosi vya awali vya mataifa mbalimbali na vikosi vya mwisho vya watu 23 , wachezaji wengi wa Chelsea wamechaguliwa, huku wakifuatiwa na Manchester United ambayo wachezaji wake 16 wamechaguliwa licha ya kuwa na msimu mbovu.
 
Kwa wenyeji Brazil, kocha Luiz Felipe Scolari amewaita Oscar, Willian, Ramires na  David Luiz kuichezea nchi yao katika ardhi ya nyumbani.
Kusoma zaidi habari hii bofya www.bkmtata.blogspot.com

MAMBO HAYA 10 YAKUZINGATIA TAIFA STARS ILI WAIBUKE NA USHINDI DHIDI YA ZIMBABWE

DSC_45751 
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
Tel: 0712461976
ZIMEBAKI saa chache kuwapokea washambuliaji wawili wa Tanzania wanaocheza soka la kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya nchini demokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Emmanuel Ulimwengu.
Kuwasili kwa nyota hawa wawili kumefufua matumaini kwa benchi la ufundi na jana kocha mkuu Mart Nooij alisema kuongezeka kwa Samatta na Ulimwengu kumekifanya kikosi chache kiwe na nguvu zaidi katika safu ya ushambuliaji.
Wanandinga hao wa Tanzania jana waliichezea TP Mazembe katika mechi ya kwanza ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya El Hilal Omdurani ya Sudan na kupigwa bao 1-0 ugenini.
Licha ya uchovu wa mchezo huo na safari waliyoianza leo asubuhi, haitawazuia kuitumikia timu yao ya taifa ya Tanzania, Taifa stars katika mchezo muhimu wa kesho dhidi ya Zimbabwe.
Taifa stars inahitaji kufunga magoli mengi katika mchezo wa kesho ili kujiweka mazingira mazuri ya kusonga mbele.
Kwa muda mrefu sasa Stars imekuwa ikivurunda, lakini kuja kwa kocha mpya kunawafanya watanzania wawe na hamu ya kufuatilia nini kitatokea.
IMG_0750
Samatta na Ulimwengu watawasili Dar leo mchana
Nooij ameiongoza Stars katika mechi moja tu dhidi ya Malawi kwenye uwanja wa sokoine jijini Mbeya na kutoka suluhu ya bila kufungana, lakini mechi ya kesho ni ya kwanza ya kimashindano kuiongoza timu ya taifa ya Tanzania.
Kila mtu ana hamu kuona mfumo wake wa uchezaji na jinsi atakavyowatumia wachezaji wa Stars ambao jana aliwasifu kuwa na vipaji vikubwa na uzoefu katika mashindano ya kimataifa.
Nooij alisema katika mchezo huo hawatacheza kwa kushindana mithiri ya vita dhidi ya Zimbabwe, bali wataingia na kucheza mpira kama walivyojiandaa.
Ili Taifa stars ifanye vizuri kesho, kuna baadhi ya mambo yanatakiwa kuzingatiwa na wachezaji. Najua wamefundishwa, lakini kilichobaki ni kuyatekeleza kwa nidhamu ya kimpira.
Mosi; Wachezaji wetu watatakiwa kuwa shupavu, kucheza kwa kasi, kuzuia kufungwa, na kucheza kwa weledi mkubwa kwasababu nidhamu ya kimchezo ya wapinzani wao ni kubwa na wana watu wanaoweza kuamua matokeo wakati wowote akiwemo mshambuliaji hatari, Knowledge Musoma.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

HAYA NDIO MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI MJINI DODOMA

PG4A9487  
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi  Mteule wa Tanzania nchini Sweden, Dora Msechu kabla ya mazungumzo yao,ofisini kiwa Waziri Mkuu  mjini Dodoma,  May 16, 2014. Balozi huyo mteule alkwenda kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A9494  
Waziri Mkuu Mizengo Pinda  akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Sweden, Dora Msechu, ofisini kwake mjini Dodoma May 16, 2014. Balozi huyo Mteule alikwenda kuaga. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu) PG4A9513 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William  Lukuvi, bungeni mjini Dodoma May16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A9520  
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Naibu wake, Pereira Sirima  (kulia) wakipongezwa na Wabunge baada ya bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A9525 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Makambako, Deo Sanga (kushoto) na Mbunge wa Viti Maaliam, Lediana Mng’ong’o bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

KATIBU WA UWT MKOA WA MBEYA APOKELEWA KWA MIKONO MIWILI KATKA WILAYA YA MBEYA MJINI




Umoja wa wanawake Tanzania (uwt) wilaya  mbeya mjini  kimefanya kikakao cha baraza la uwt( w)  kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa ccm kata ya sisimba  mkoani mbeya  ,kikao hicho kilihudhuri  na wenye viti wa uwt kata na wajumbe wa wiliya wa umoja huo
Malengo ya kikao hicho ni kumkalibisha katibu mpya wa uwt mkoa,kuimalisha uhai wa umaja huo,kuahamashana kwa shughuli mabalimabali za umoja huo na kuanzisha miradi ya uwt wilaya
  Uwt wilaya ya mbeya mnjini wamemmpokea kwa mikono miwili katibu wao mpya  wa umoja huo bibi MARIMA YUSUFU  katika mkoa mbeya, hii nibaada ya mabadiriko ya umoja huo ulio fanyika  hapa nchini  bi mariam amechukua na fasi  TABU RUGWESYA alikuawa katibu wa UWT  mkoa wa mbeya
Katika kikao hicho bibi mariam  meowamba wanawake wote, na wanyeviti wa kata kuitisha vikao kulingana na katiba ya chama inavyo sema  hii tawaondolea migogoro kwani vikao ndio suluhisho la matatizo katika umoja wao,  
Pamoja na hayo amewataka wenyeviti wa  kata kufanya ziara mara kwa mara  ili kuelimisha kuhusu  kinachofanyika katika serikali yao  hali itaweza kuwafanya  wanachama kutambua umuhimu wao katika nchi yao,bibi mariam asema’’ bila ziara na kufanya vikao kuwafuata wananchi  walipo hatuta jenga umoja wetu wa wanawake “ 
kwa upande mwingine omeongelea kuhusu kuazisha mirada ya chama  amesema wanawake waombe mashamba, viwanja na miradi mingine ili waweza kuendesha chama na kujinua wanawakwe kiuchumi katika mkoa wa mbeya na wanawake wote Tanzania  kwa ujumla pia amewasa wanawake   kujiamini na kujiunga na taasisi za kifadha  au kuanzisha   saccos,au banki ili ziweze kusadia na familia zao hii itawajengea kuijimalisha kifamilia,kijamii na kiuchumi pia
Bibi mariam  ameowamba  madiwani wanawake wanatakiwa   kuwawakilisha wanawake wote Tanzania, na kazi kubwa ni kutekeleza ilani  ya chama cha mapinduzi kwa  kufanya mikutano kwa  kuwaelekeza kitugani serikali ya chama cha mapinzuzi kilichofanya nahii itasaidia wananchi kutambua wajibu wao,madiwani wanakazi kubwa sana ya kuelimisha wananchi wa kata zao
Pia madiwani wa viti maalum kuwaelimiasha wanachama kuhusu ulipaji wa ada ambyo nishilingi 1200 kwa mwanachama mmoja kwa mwaka ,  kwa kuwa madiwa ni wana ushawishi mkubwa sana kwa wanachama wao

Bibi mariam amesama kuwa yuko tayari kufanya kazi na wanawake  wa mkoa  wambeya  na Tanzania  kwa ujumla  kwa  kushikiana na wanawake  wamikoa mingine ya  tanzania
Naye katibu wa uwt wilaya ya mbeya mjini bibi SIFA AMIDU ALIMASI amesema kuwa amefurahi kutembelewa na katibu mpya katika wilaya ya mbeya na wanamkaribisha  kwa mikono miwili na wapo tayari kushirikiana naye ili waeweze kufikisha mipango na malengo  ya umoja huo wa uwt,pamoja na hayo bibi sifa amidu asema  kuwa malengo makubwa ya UWT ni kuwainuwa wanawake kiuchumi na kuwatangezea mazingira mazuri ya kujiamini katika utandaji wa kazi zao na kutatua matatizo na migogoro ya hapa na napale, pia amewataka wanawake wote wa wilaya  ya mbeya na mkoa kwa ujumla kujiunga na umoja huo ili kujikwamua kichumi  
 Bibi sifa Omeongeza kuwa  wanawake kupendane na kuungana mikono husasana   katika kipindi cha uchaguzi ili kuweza kufikisha hasilimia hamsi kwa hamisi,  wanawake wawe  na wivu wamaendeleo na kuondoa kuchafuana  wenyewe kwa wenyewe
  Kwa upande wake mwenyekiti wa wanawake  madiwani wa viti maluum  mbeya mjini bibi AGNESS MANGASILA  asema kuwa wameupokea  wito wa  katibu wa uwt mkoa na kuahidi kuwa madiwani wata fanya kazi kwa kufanya vikao na mikitano ya mara kwa mara  kwa wananchi wao  ili kuelimisha kuhusu serikali yao